Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,088
- 136,593
Asante.....Karata yangu ya pekee imebaki kwa Argentina hope hawataniangusha.......
Hao nao jana walivyohangaika vile.....mi siwaamini kivile.
Asante.....Karata yangu ya pekee imebaki kwa Argentina hope hawataniangusha.......
Asante.....Karata yangu ya pekee imebaki kwa Argentina hope hawataniangusha.......
Hao nao jana walivyohangaika vile.....mi siwaamini kivile.
Wewe ni mshabiki wa kwanza nimjuaye mwenye kushabikia Brazil na Argentina kwa wakati mmoja...
Wewe ni mshabiki wa kwanza nimjuaye mwenye kushabikia Brazil na Argentina kwa wakati mmoja...
Ule upinzani wao wa jadi ndo furaha yangu yaani nilitaman sana wakutane fainali ndo vile tena wishes zangu zimeyeyuka kama barafu.....
Ule upinzani wao wa jadi ndo furaha yangu yaani nilitaman sana wakutane fainali ndo vile tena wishes zangu zimeyeyuka kama barafu.....
Anadai yeye ni shabik wa mpira mzuri
Brazil atakutana na argentina ktk nusu fainal.. kupata miujiza mingine kama hii, tuma neno MIUJIZA kwenda namba 6789
Muwe na wakati mwema wapendwa
Na sikupi tena zawadi
Muwe na wakati mwema wapendwa
Nauliza hivi! Ujeruman hawajaitwa kama timu mwalikwa!!
Dah!! Afadhali umekuja nilikuwa nishakuandalia zigo la lawama,wewe nilikwambia uje kwangu ukakataa lazima connection ikatae.....lol
BAK wapi uko nimekumiss sana...... Duh!! Natamani nikutoe gerezan Haya masiasa siyo mazuri.....
Pole nilijua tu Brazil anaaga leo...
Hawakustahili kupita leo...
Na wangepita wangepigwa nyingi sana na Argentina