Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Brazil kama atashinda Leo nusu fainali itakuwa ni Argentina na Brazil, Chile na Peru.........dah !! Wishes zangu zitakuwa zimefeli kidogo.......
 
Na inakuwa faulo kupiga ktk lango la Brazil lakini kipa anacheza vyema kabisa
 
Ila dunga hizi bange zake si nzuri, kwanini mtu kama Marcelo anakaa bench?
 
Back
Top Bottom