Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Italy wana rekodi kila baada ya miaka 12 kucheza Fainali world cup eg 1970 wakafungwa 4-1 na Brazil kule Mexico City,Mexico,1982 wakamfunga Ujerumani 3-1 kule Spain ktk uwanja wa santiago bernebeu jijini Madrid,1994 wakafungwa kwa penati na Brazil kule USA,na mwaka 2006 wakashinda kwa penati vs France kule Ujerumani,je 2018 wataendeleza rekodi yao kutinga fainali huko Russia?

Mungu atupe uzima tuone je hili litatimia?
 
Peru wanafanya mabadiliko hapa kaingia mchezaj aitwaye Ramos
 
Kama la kubahatisha hivi...

Ah!! Ndo hivyo lakini ilikuwa ni kazi nzuri za pass zilizochezwa na Alexis Vidal hatimaye Vargas kupata mpira na kupachika bao....... Mimi sifurahishwi na refa kwa kweli atanifanya niwachukie Chile bure.
 
Yaani ile Mara ya kwanza kabisa aliyestahili kadi nyekundu ni Vidal huku home tunasema alimsokola Zambrano usoni tena makusudi cha ajabu Zam brano anakuja kupewa red kwa ajali ya bahati mbaya alipopiga mpira alinyenyua mguu juu sana ukamkanyaga mchezaji wa Chile mgongoni this is unfair kabisa kwa Peru.
 
Hata Paraguay anampiga huyu...

Halafu Chile kabaniwa bao hapo...haikuwa offside hiyo

Wacha walipie madhambi yao.... Paraguay nao wako vizuri sana tutashudia semi final moja nzuri sana.....
 
Back
Top Bottom