Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Kweli wanatishia amani.....

Mi Brasil siwaelewi kabisa toka wabamizwe 7-1.

Hawajielewi elewi kabisa.

Mkoloni aliwaachia nuksi wanatakiwa wakaoge baharini....... Ila kadri miaka inavyokwenda Brazil inazid kushuka.
 
Mkoloni aliwaachia nuksi wanatakiwa wakaoge baharini....... Ila kadri miaka inavyokwenda Brazil inazid kushuka.

Hawana vipaji tena...

Mpira wao sasa umekuwa wa kujifunza kama mataifa mengine tu...
 
Mkoloni aliwaachia nuksi wanatakiwa wakaoge baharini....... Ila kadri miaka inavyokwenda Brazil inazid kushuka.

Nadhani ni kipindi cha mpito ambacho karibu kila timu hupitia.

Kabla ya mwaka 1994 Brasil haikushinda kombe la dunia kwa miaka 24. Na tokea mwaka 1990 Ujerumani nayo haikushinda kombe la dunia kwa miaka 24.

Hivyo ni kawaida kuwa na kipindi cha mpito.
 
Nadhani ni kipindi cha mpito ambacho karibu kila timu hupitia.

Kabla ya mwaka 1994 Brasil haikushinda kombe la dunia kwa miaka 24. Na tokea mwaka 1990 Ujerumani nayo haikushinda kombe la dunia kwa miaka 24.

Hivyo ni kawaida kuwa na kipindi cha mpito.

Nadhan hata Tanzania tuko katika kipindi cha mpito
 
Hawana vipaji tena...

Mpira wao sasa umekuwa wa kujifunza kama mataifa mengine tu...

Pia naona huko kwao sasahivi wamesahau asili yao wamegeukia mambo mengine ndiyo maana si kama zamani.....
 
Fernandinho....

Anapata...sijui kapiga dochi huyu
 
Back
Top Bottom