Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Wapi Chuji???????
Hawa jamaa inabidi tuanze na plan B counter attack!so Chuji anahitajika sana kuingia.
 
Hapana, huu siyo utetezi kwani wao wanachezea wapi kama siyo mumo humo? Tunashinda! Baada ya dhiki faraja.

sentensi rahisi....uwanja ni mbaya hadi wachezaji wanakosa ball control.....siajsema wachezaji wa kili au harambee,wote wana struggle kwasababu ya utelezi,hio ni fact sio utetezi
 
Teh.. Tamzania bwana.. Sijui tunaweza nn.. Naipenda nchi yangu.
 
Back
Top Bottom