ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Shindwa na ulegee
ndio nini shindwa..
Shindwa na ulegee
Jamani hawa TBC1 wataonesha kweli!!??
Wapi Chuji???????
Hawa jamaa inabidi tuanze na plan B counter attack!so Chuji anahitajika sana kuingia.
Hapana, huu siyo utetezi kwani wao wanachezea wapi kama siyo mumo humo? Tunashinda! Baada ya dhiki faraja.
Yes mkuu sasa tunaweza fanya kitu fulani.kakusikia
yondani jembe..
mbona kenya wanapatia iwe sie tuu..