Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Huyu dogo Faridi Musa ni kichefuchefu!pasi zote kapoteza.
Hapa alitakiwa kuingia Chanongo au Messi.

Mimi mwenyewe nimeduwaa kuona sub kama ile. Hao dogo wa Simba nawakubali sana ingawa mimi ni wa itikadi pinzani. Poulse aambiwe finito, hana jipya.
 
good save by Ivo
1003567_658671987518141_1835331306_n.jpg
 
Sijui ndio kusema hatujazoea kucheza usiku ama...
 
mkuu watu8 ulisema kweli, sisi tuna mchecheto sana yani!

Yaani hadi inakera mkuu..hii timu wachezaji wamekaa muda mrefu wanajuana lakini likija suala la mechi zenye presha huwa wanadebweda...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom