Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Kama ningekua Polsen ningemtoa Amri Kiemba faster na kumuingiza Chanongo ili tukimbize.Kisha kipindi cha pili ningemtoa H.Dilunga na kumuingiza Chuji.
 
Kama ningekua Polsen ningemtoa Amri Kiemba faster na kumuingiza Chanongo ili tukimbize.Kisha kipindi cha pili ningemtoa H.Dilunga na kumuingiza Chuji.
Ungekua, lakini huwezi kua.
 
uwanja mbaaayaaaa mpaka wachezaji wanakosa ball control...........
 
Back
Top Bottom