edward snowdern
Senior Member
- Nov 30, 2013
- 138
- 55
uwanja kama makabur ya kinondoni
Mkuu uwanja ni mbovu hakuna cha kukimbiza, tazama Ngasa na Samatta ni wakimbizaji wazuri lakini leo sijaona chochote, uwanja unateleza sana walitakiwa kuwa na viatu ambavyo all weather.Kama ningekua Polsen ningemtoa Amri Kiemba faster na kumuingiza Chanongo ili tukimbize.Kisha kipindi cha pili ningemtoa H.Dilunga na kumuingiza Chuji.
uwanja mbaaayaaaa mpaka wachezaji wanakosa ball control...........
Hapana, huu siyo utetezi kwani wao wanachezea wapi kama siyo mumo humo? Tunashinda! Baada ya dhiki faraja.
Huenda viatu walivyovaa wenzetu ni tofauti na vya kwetu.
Tatizo la timu yetu majikupwa maji kujaa,haitabiliki
dizaini tumeridha..Inawezekana kabisa mkuu.. angalia hata utelezaji wao na sisi'
Inawezekana kabisa mkuu.. angalia hata utelezaji wao na sisi'
ngapi ngapi,ndo naingia toka pori
ngapi ngapi,ndo naingia toka pori
ngapi ngapi,ndo naingia toka pori