Protekta anafungika?Hii inaenda 120
YeahHii inaenda 120
Eeh Mungu wa MaliZinaenda 30.
Bado ni mbaya maana wanaendelea kucheza pungufuZinaenda 30.
Pamoja na hilo Wamepambana aseee!Bado ni mbaya maana wanaendelea kucheza pungufu
Unakumbuka enzi za Golden GoalIngekuwa penalty tu aisee
Nnawapa nafasi Mali licha ya kuwa pungufu.Kabisa
Amen!Tunisia ni wabovu
Acha niwe na Imani nae!Sema kwenye penati Diarra hayuko vizuri