Nawote tuseme amen!Kesho, Morocco wakiingia na pressure tunawapiga fresh tu
Kwa mawazo yako Morocco kwa uzoefu wa michezo mikubwa ya kimataifa na kwa quality ya wachezaji walionao ndio wakuingia kwa presha dhidi ya timu iliyofuzu kwa point 2? Haupo serious mkuu, wale ni level nyingine kwa AfricaKesho, Morocco wakiingia na pressure tunawapiga fresh tu
Nakubaliana na wewe lakini mpira unadunda na mguu wowote unaweza kuupiga.Kwa mawazo yako Morocco kwa uzoefu wa michezo mikubwa ya kimataifa na kwa quality ya wachezaji walionao ndio wakuingia kwa presha dhidi ya timu iliyofuzu kwa point 2? Haupo serious mkuu, wale ni level nyingine kwa Africa
Hakuna cha miujiza wala nini keshoNakubaliana na wewe lakini mpira unadunda na mguu wowote unaweza kuupiga.
Ni swala la muda tu tutaona miujiza.