Pesa ipo?Mo anamwona
best player apo kwenye hio timu ni alievaa jezi no 8Mzuri sana
anabeba southMorocco atabeba kombe 💯
Koma kuchanganya liverpool na ujingaMorocco wanabebwa kama timu ya Livepool siku ya jana hadi game linakera
Oya huyo anakipiga Belgium ujue 😄Mo anamwona
Wako ulaya hao brotherYuko timu gani?
Ngoja tumchimbe...
Unajua hivi Visiwa vya Comoros na Madagascar wana wachezaji wazuri sana.
Soko lao halifahamiki sana
Liverpool tumekukosea nin?Morocco wanabebwa kama timu ya Livepool siku ya jana hadi game linakera
Kwamba Mali sio mgumu?Wana Mali na Zambia... kwenye kundi lao.
Wanabahati sana, timu zao sio ngumu.