SPECIAL: Game of Thrones (A song of ice and fire)

SPECIAL: Game of Thrones (A song of ice and fire)

Nasikitika mm ni mmoja ambaye sijaangalia hii Series....
Maana nilikuwa busy na The walking Dead... Nina Novels tano za GOT na zote nimesoma... BT THIS WEEK NDO NATAKA NIANZE KUIFUATILIA HII SERIES.. Nasikitika kuanza wakati iko season ya sita...
 
Nasikitika mm ni mmoja ambaye sijaangalia hii Series....
Maana nilikuwa busy na The walking Dead... Nina Novels tano za GOT na zote nimesoma... BT THIS WEEK NDO NATAKA NIANZE KUIFUATILIA HII SERIES.. Nasikitika kuanza wakati iko season ya sita...
Ukiamua mbona unaweza,mi nlianza kuiangalia ipo season 5 mwanzoni ila sahivi nipo nayo level...novel huwa wanatoa after a season or before?
 
Mimi nasubiria hadi tar 26 June nipakue yooote complete ili nikikaa nasahau hata Euro kwa masaa kadhaa.
Mie yamenishinda,maana unaingia group watsapp unakuta watu wanaidiscuss basi ladha yote inaisha,nkaona isiwe tabu acha niwe nazishusha tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiamua mbona unaweza,mi nlianza kuiangalia ipo season 5 mwanzoni ila sahivi nipo nayo level...novel huwa wanatoa after a season or before?
Mpaka sasa sijajua kama novel inatoka after season or before.. Ila mm nimesoma hadi ya tano... Nimejaribu kufuatilia wanasema George Martin anaandika ya sita...
Sasa kama jamaa anaandika ya sita this mean kwamba anatoa baada ya season kuisha...
Ndo nimeanza episode ya kwanza season 1, Huyu Ned kamkata jamaa kichwa daaaah...
[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Jamani, kuna mwingine ambaye huwa haielewi, ila anapaenda kuiangalia tu...its actions, hypocrisy and all that?
 
Theory iliyotengenezwa na fans ni kuwa, Jon ni mtoto wa Lyanna na Rhaegar Targaryen na kama naamini flani cz the red woman alimwambia s06e03 kuwa Stannis wasn the prince so maybe he is.
Halafu pale kwenye ndoto ya Bran pale kwenye fight Eddard alivyoenda kule kwenye ile tower nahc ndo alienda kukachukua kaJon....
Sasa unavyosema atamuoa Daenerys,atamuoaje wakati yasemekana ni ndugu yake...
wewe ndio umamaliza kila kitu maana hata mimi nina mawazo kama yako

Jon ni Targaryen ingawa kitabu akijaweka wazi ila kuna kipindi Caterly aliwahi kumwambia Ned kamba Jon sio damu yake.

kuoana ndugu inawezekana kwa wale Targeryan maana huo ndio ulikuwa utamaduni wao kwa maelfu ya miaka ili kukeep identity yao na dragon blood
 
Mie yamenishinda,maana unaingia group watsapp unakuta watu wanaidiscuss basi ladha yote inaisha,nkaona isiwe tabu acha niwe nazishusha tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahahaa., duh pole sana, mimi nikiona watu wanaizungumzia napita kama siwaoni vile. Huwa naumia sana nitoe kimoja then niishi kwa maumivu ya kusubiria kwa wiki nzima
 
Hahahaa., duh pole sana, mimi nikiona watu wanaizungumzia napita kama siwaoni vile. Huwa naumia sana nitoe kimoja then niishi kwa maumivu ya kusubiria kwa wiki nzima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole,mie nshajizoelea
 
Kutokana Na ubize sikumalizia season iliyopita, naanza nayo sasa ili niende nayo sawa.!
 
The lanisters always pay their debts

Winter is coming

Tyrion lanisters nampenda sana hahahah

"All dwaves are bastarfs on their fathers eyes" -lord tyrion lanister
Ila jamaa ana misemo yake mizuri...halafu anaonekena hakurupukii ktk maamuzi yakee...kanaakili
 
Ni vigumu kujua nani atakuja tawala empire yote..maana mother of dragons anaonekana ndo amepotea,petyr baelish is cooking something...kina stark ndo wanaendelea kufa huku wale wadogo wakiendelea kuwa wa miujiza zaidi...sijui itakuaje..I cant wait
Halafu King wa sasa naona hawana mamlaka kabisaa...hasa kale katoto
 
Nafurahi kuona watu mkitiririka juu ya show hii kali kuwahi kutokea

Aliyeona Season 6 Episode 4 Je unadhani tangu ianze Season 6 hii episode ndiyo bora zaidi na yenye kusisimua zaidi?
 
Nafurahi kuona watu mkitiririka juu ya show hii kali kuwahi kutokea

Aliyeona Season 6 Episode 4 Je unadhani tangu ianze Season 6 hii episode ndiyo bora zaidi na yenye kusisimua zaidi?
Yaah hii ilikuwa na mzuka zaidi hasa pale john snow alipokutana na mdogo wake na kule kwa mother of dragons .
 
Back
Top Bottom