mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,496
Aliambiwa na sansa asubiri watu wapoe ndo waende vitani. AmekataaMuoneeni dae huruma aise!
Watu wote wa karibu kapoteza. ,including her Son. Jeshi nalo kapoteza ,lazima tuu achanganyikiwe.
Aliambiwa na sansa asubiri watu wapoe ndo waende vitani. AmekataaMuoneeni dae huruma aise!
Watu wote wa karibu kapoteza. ,including her Son. Jeshi nalo kapoteza ,lazima tuu achanganyikiwe.
Ndio nini hicho?Euron kuna jinsi ametazama angani '' Balerion ''??
Alivyolipua Bomu hukuonaAnaenda kingslanding baada ya kusikia kwamba atauliwa. Jaime anampenda cersie. Wengi wetu tunamchukia cersie lakini kwa upande mwengine tukiangalia kosa alilofanya cersie ni lipi hatulioni. Cersie hakuamuru lord stark auliwe, ni kweli cersie alikua anatembea na kaka ake lakini mnauona uovu aliokua akiufanya robert, kuingiza wanawake ndani ya chumbani mnacholala mke na mume halafu mke anakuona sio fair kabisa. Mimi binafsi sijauona uovu alioufanya cersie. Labda wenzangu nielezeni.
Cersie hakumrusha bran kwenye window
Cersie hakumuua lord stark
Cersie hajamtesa sansa wala arya
Cersie hajamuua baba ake
Cersie hajamsentence tyrion kuuliwa. Anachofanya ni kulinda ufalme wake tu
Ukiangalia next ya ep05.. utaona kuna jinsi Euron ameangalia juu.Kuna huyu Dragon aliyesemekana amekufa kitambo mno(Balerion ). Sidhani..ni predictions tu za sisi wapenda Dragons, jamaa ni kama ameshtuka sana baada ya kusikia zile kelele angani.Na refer jinsi Misande alivyosema Burn them All..sidhani kama ni yule Dragon mmoja..it might be something bigger..Ndio nini hicho?
Ukiangalia next ya ep05.. utaona kuna jinsi Euron ameangalia juu.Kuna huyu Dragon aliyesemekana amekufa kitambo mno(Balerion ). Sidhani..ni predictions tu za sisi wapenda Dragons, jamaa ni kama ameshtuka sana baada ya kusikia zile kelele angani.Na refer jinsi Misande alivyosema Burn them All..sidhani kama ni yule Dragon mmoja..it might be something bigger..
Sidhani kama ile Kauli ya Burn Them All itafaa kwa Dragon mmoja.Ngoja tuonehapa nakubaliana na ww, Euron ametoa jicho kana kwamba ameona kitu cha ajabu sana angani, maybe ameona dragon mwengine ambae haku anticipate kabisa kumuona
Inaweza kuja tokea,Kuna moja inaitwa THE LONG NIGHT,ni prequel ya Game of thrones yaani inaelezea matukio miaka alfu kabla ya Game of thrones,ikiwemo origin ya white walkers,nkHivi itakuja tokea series Kali Kama hii? Sidhani aisee...!
Sidhani kama ile Kauli ya Burn Them All itafaa kwa Dragon mmoja.Ngoja tuone
acha tusubirie what's next. Ila Jon nmemuona amefika kingslanding, kuna bonge moja la battle linakuja litaacha wengi midomo wazi.
Kweli Mkuu,hata ukiangalia tease ya kwanza kabla ya trailers za GOT kuanza kutoka utaona upande wa winterfell inakubwa na dhoruba ya barafu (ice) ikimaanisha white walkers na king landing ikikumbwa na dhoruba ya Moto.Ukiangalia next ya ep05.. utaona kuna jinsi Euron ameangalia juu.Kuna huyu Dragon aliyesemekana amekufa kitambo mno(Balerion ). Sidhani..ni predictions tu za sisi wapenda Dragons, jamaa ni kama ameshtuka sana baada ya kusikia zile kelele angani.Na refer jinsi Misande alivyosema Burn them All..sidhani kama ni yule Dragon mmoja..it might be something bigger..
Bomu kalipua kulipiza kisasi kwa wale high sparrow na kumbuka walimtembeza akiwa uchi mji mzima. Hebu jaalia wewe leo mtu akuvue nguo zote halafu akutembeze hapo k.koo tu. Hasira zako utamfanya nini. Pili wale tyrels walikua wanataka kumpindua, walijua kwamba ni rahisi kumteka tommen. Ili kuhakikisha kua familia ya lannister inasonga mbele ni lazima high sparrow na tyrel waende na majiAlivyolipua Bomu hukuona
Na Leo kaua misandei
Ana Roho mbaya huyu mama
Anaenda kingslanding baada ya kusikia kwamba atauliwa. Jaime anampenda cersie. Wengi wetu tunamchukia cersie lakini kwa upande mwengine tukiangalia kosa alilofanya cersie ni lipi hatulioni. Cersie hakuamuru lord stark auliwe, ni kweli cersie alikua anatembea na kaka ake lakini mnauona uovu aliokua akiufanya robert, kuingiza wanawake ndani ya chumbani mnacholala mke na mume halafu mke anakuona sio fair kabisa. Mimi binafsi sijauona uovu alioufanya cersie. Labda wenzangu nielezeni.
Cersie hakumrusha bran kwenye window
Cersie hakumuua lord stark
Cersie hajamtesa sansa wala arya
Cersie hajamuua baba ake
Cersie hajamsentence tyrion kuuliwa. Anachofanya ni kulinda ufalme wake tu
Lakini amewatibua baada ya kuua misandei .na huyo grey worm sijui atafanya niniBomu kalipua kulipiza kisasi kwa wale high sparrow na kumbuka walimtembeza akiwa uchi mji mzima. Hebu jaalia wewe leo mtu akuvue nguo zote halafu akutembeze hapo k.koo tu. Hasira zako utamfanya nini. Pili wale tyrels walikua wanataka kumpindua, walijua kwamba ni rahisi kumteka tommen. Ili kuhakikisha kua familia ya lannister inasonga mbele ni lazima high sparrow na tyrel waende na maji
Ukiangalia next ya ep05.. utaona kuna jinsi Euron ameangalia juu.Kuna huyu Dragon aliyesemekana amekufa kitambo mno(Balerion ). Sidhani..ni predictions tu za sisi wapenda Dragons, jamaa ni kama ameshtuka sana baada ya kusikia zile kelele angani.Na refer jinsi Misande alivyosema Burn them All..sidhani kama ni yule Dragon mmoja..it might be something bigger..