mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,496
Alipotabasamu aliniacha hoiHii scene asee[emoji119]View attachment 1084166
Alipotabasamu aliniacha hoiHii scene asee[emoji119]View attachment 1084166
Dah wale dorthraki walipeperushwa ghafla. Haikua rahisiPale alipowaamsha wale waliokufa nikajua kazi imeisha... no way the living wangeweza kuwashinda!!!
Jamaa poa sana huyo..alijua anaenda kuwala wote kule.Alijiamini sana.Needle a.k.a Arya kamaliza mchezo vyema sana.Naona Cers jinsi atakavyokurupuka kuja kuvamia huku walioshandana na Wafu...Hii scene asee[emoji119]View attachment 1084166
Cersie hatoamini macho yake kwa kitakachomkutaJamaa poa sana huyo..alijua anaenda kuwala wote kule.Alijiamini sana.Needle a.k.a Arya kamaliza mchezo vyema sana.Naona Cers jinsi atakavyokurupuka kuja kuvamia huku walioshandana na Wafu...
Kuna visa vingi sana kwa hii kitu ila kama hupendi mapanga mapanga bado kuna visa vingi vya kusisimua kama The Red Wedding na vingine vingi.Binafsi nilikaa nayo siku niliposema ngoja niangalie.Hahaha...Mnanipa morali ninayo mpaka ya 6 hata episode moja sijagusa, itabidi nianze kuangalia
Ninahisi kama watapigwa mwanzoni...Cersie hatoamini macho yake kwa kitakachomkuta
Hata me nahisi hivyohivyo,kama ilivyokua kwenye battle of the bastards,Sansa alivyokuja kuokoa jahazi mwishoni had Ramsey akatimua mbioNinahisi kama watapigwa mwanzoni...
View attachment 1084274
Huyu atakuwa mkombozi wao...maana ana kisa na yule Uncle wao.
Daah nilikuwa namkubali saana Jamaa...Knight king 👑 kwisha habari!
Nafuu Tormund hajakufa[emoji4]
Theon kaonyesha ubishi wa hali ya juu, pigo sana kuondoka kwake mapema.
View attachment 1084110
Mwamba kafa daah nimeumia mno..huyu Bwana alikuwa amsha amsha mno....Alionekana mara chache ila habari yake hahahaaha.
Ataungana na daenary lakini peke yake hatowaweza kina cersie. Dawa ya cersie ni arya tu.Ninahisi kama watapigwa mwanzoni...
View attachment 1084274
Huyu atakuwa mkombozi wao...maana ana kisa na yule Uncle wao.
Amefuta makosa yake, bran alijua kama theon hatoboi kwa king. Ndiyo maana alimwambia thank you. Kazi yako imeisha tusubiri tu rehema za munguBora kaenda atuachie mke wetu Sansa house Lannister tumle maana alishaanza kumchekea chekea.
Ila Theon kama deni la kuwageuka Starks kalilipa lote na riba juu.