Kongosho jamani yuko wapi mbona zake hajatupa................ha ha ha ha ha .........am dying to see hers..oops his .....ooops.....hah ha ha ha
Woooh BAK.........you are legend.......... honestly......Big fan of Keith Sweet
ha ha ha, naona mshataja zote, sasa zangu za kisukuma hamna anayezijua.
Ila na hizi huwa nazisikia
ballerina girl Lionel Richie, kwa kum-undress tu
your body is calling R. Kelly, wakati naangalia pa ku-attack
sex me R. Kelly, kwa kufanya shambulio lenyewe
love scene Joe thomas, kama hapo juu au ku-regain konshazi
Tangazo la tuko wangapi? Hasa kama ni one night stand
kuna nyimbo haijatajwa humu
'till the cops come knocking---Maxwell....lol
looool
unacheka nini?
umewahi pata dozi hadi ukatamani polisi waje usalimike?lol
1. Jaheim- Fabulous,
2. Whitney Houston-My luv z ur luv
3. Caz Tee - Nakuhitaji,
4. Don williams - Amanda
5. Celine - B'se u loved me
6. Kassim - Haiwezekani
7. Don Williams - I believe in you
8. Celine - When I need you
9. Nimekuchagua wewe - Balubi
10 Banana - Love story ... (Sogeaa nikushiiike mkoono, sogeaaa nikushiiike.....)
Nigongeeni 5 hapo.
Duh The Boss umeniacha bila mbavu.........nishawahi kuona uswahili kule Tanga kidume kilifanya mambo mtu akatoka na
Pichu mkononi kaishika.......te te te te.Gazeti la The Sun,tabloid,la UK liliandika wakati Brad Pit na Angelina wanaanzana,walienda Mexico vocation,kwenye chumba walichokuwa wamelala ilibidi wageni wengine watoke usiku kuuliza kama kuna ng'ombe anachinjwa kumbe Angelina anaulilia.......ha ha ha ha
ya boflo angeikataaje sasa? lol
alijua its safe still kwa dada yake
hii ya kwangu ndo lazima ilipwe lol