Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
natafuta loya kwa kuandika talaka.
Najua utanisaidia
Najua utanisaidia
Mmmh! Is there a fee? Nauliza tu, not that im game,lol
Mmmh! Is there a fee? Nauliza tu, not that im game,lol
Mie test zangu hizo za kikungu. . Elizabet. .and some from Kongosho. .
Actually natamani nitengenezewe cd ya hizi zote zilizotajwa na hawa. . za lara hizo nikiwa anga zangu za kujirusha na sitoki pale dancing floor!! mana naziskia zinapita kwenye blood stream mpaka moyoni
toba sijui ntaacha lini ntazeeka na mziki kwa kweli sasa watoto wanakua tunashindana kuimba bongo flava hatareee
Duh Twande umesema kweli kama tungeweza tengeneza collection ya hii thread mbona ingekuwa kariiiiiiiiiii.............Mmmmh ng'ombe hazeeki maani bwana,we tesa tu maisha yenyewe hayaeleweki haya,jiachie tu.........
te te te te
Mie ninazo nyingi mpaka nashindwa pa kuanzia
1.That night - judy boucher
2.You -Lloyd ft lil wayne
3.Call the man- c. Dion
4.When you kiss me- shania twain
5.Faithful- morgan heritage
6.Wrapped-gloria estefan
7.Can you feel the love -elton john
8.Loving you-shanice
9.Tell him-celine dion
Ntakuwa nimefanya dhambi kama nitasahau huu wimbo
10 The girl is mine- wacko jacko
Na nachi lol!!!!!
Duh mak89 hapo ...the girl is mine..... ndio mambo yote bwana,ukipitia lyrics zake waweza lia..............duh acha tu...............
Duh Twande umesema kweli kama tungeweza tengeneza collection ya hii thread mbona ingekuwa kariiiiiiiiiii.............Mmmmh ng'ombe hazeeki maani bwana,we tesa tu maisha yenyewe hayaeleweki haya,jiachie tu.........
te te te te