The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Hakuna wapenda taarabu humu? Mbona sijaona hata track moja ya mambo ya rusha roho!
Kuna kitu cha "TX mpenzi doctor wangu jamani".....
TX hasiti kufanya operesheni..... anapenda katikati hanipasui pembeni......."
leta yako kwanza
nikupe yangu lol