DuhYaani raia kupiga askari siku hizi anashangiliwa
Suma gani ana miaka 35!Njaa hizi zitawaua vijana. Kulikuwa na haja gani yakufanya kazi ambayo haiwahusu hao vijana wa SUMA JKT?
Hawana akili hao, kuna siku nilienda stend ya magufuli mbezi sasa huyo suma jkt akawa anakagua tiketi pale getini, baada ya kumpa tiketi yangu akachelewa kunirudishia nikamwambia nipe tiketi yangu akanijibu nikiamua sikupi, nikabaki kushangaa sasa asinipe ili aifanyie nini?JKT wanaruhusiwa kukamata?
Migambo wa Suma walikua wanataka kujipatia fedha za magendo.Pongezi KWA wananchi
Kapasuka fuvuWangevunja na miguu
Hilo nami nimejiuliza. Labda ni degree holder na ni miongoni mwa waliorudishwa nyumbani baada ya mikataba yao kuisha JKT (OP KIKWETE & MAGUFULI) akaamua ajishikize huko suma.Suma gani ana miaka 35!
Njaa zao tuu,tena hao ni mgambo Suma JKT. Nawapa hongera wananchi.JKT wanaruhusiwa kukamata?