Lerionka ole saidimu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 296
- 276
Huku kwetu Kuna mmoja amepata four ni sherehe wiki nzima ye anakunywa sumu wangemuacha afe km ingemletea hiyo one
Sure necta nao niwahuni inabidi wachunguzweNECTA imepoteza mwelekeo!kuna dogo hapa alikuwa kichwa sana eti physics ana F WAKATI MENGINE ANA B,B Na C ZOTE!!!AMELIJE PHYS AKAPATA F?HATA D IMEMSHINDA???
nkikwambia huna akili utasema nakutukana, rejea bandiko nilillo ku quote ulisema miaka 20 unakua chuo. hapa unasema miaka 20 uko fm 6 hujielewi kifupi?Acha kuandika pumba ukianza la kwanza na miaka 6 unamaliza la Saba na miaka12 unaanza form one na miaka 13 unamaliza form four na miaka16 form five unaanza na miaka 17 unamaliza form six na miaka 20
Wakati 20yrs binti yangu atakua anaingia 3rd year chuoWatu wa mikoani mnasoma mkiwa na umri mkubwa Yani miaka 20 ndo anamaliza form four
Wew hatakusoma hujasoma kumbe form six tunamalizaga mwezi wa tano chuo tunaanza mwezi wa kumi miaka hyo hyo ishirini unaingia chuo kikuu usipende kubisha hovyo Kama hujaelewa uwe unaulizankikwambia huna akili utasema nakutukana, rejea bandiko nilillo ku quote ulisema miaka 20 unakua chuo. hapa unasema miaka 20 uko fm 6 hujielewi kifupi?
alafu familia nyingi mtoto huanza na miaka 7-9 hapo ujaweka kurudia na kufeli kifupi ww n bwege
Acha kuandika utumbo..... Kwani ukimaliza form six na miaka 20 inachukua miaka mingapi kuanza chuo?! Si ni miezi michache tu..... Mimi nilianza chuo nikiwa na miaka 20 na form six nilimaliza nikiwa na miaka hiyo hiyo 20. Nilimaliza form six mwezi wa 5 kama sijakosea maana ni miaka mingi imepita, ilikuwa mwaka 2007 na mwaka huo huo 2007 mwezi wa 10 nikaingia chuo. Wewe ndo uache ubwege!!nkikwambia huna akili utasema nakutukana, rejea bandiko nilillo ku quote ulisema miaka 20 unakua chuo. hapa unasema miaka 20 uko fm 6 hujielewi kifupi?
alafu familia nyingi mtoto huanza na miaka 7-9 hapo ujaweka kurudia na kufeli kifupi ww n bwege
Haya maisha bwana
Kuna mdg wangu ananiuliza nmepata ngapi kaka
Namwambia div one ya point nane ananiuliza one za saba zipo ngapi
Nkamwambia zipo nane mdogo wangu
Ghafla akakata simu eti ameghafirika imekosekana A moja kufika One ya saba
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa mikoani mnasoma mkiwa na umri mkubwa Yani miaka 20 ndo anamaliza form four