A
Anonymous
Guest
Ruvuma–Songea–Mkuzo kumekuwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji hapa Songea.
Mamlaka ya maji (SOUWASA) wamekuwa wakifungua maji usiku kuanzia saa 9 na kuyakata tena saa 11 usiku, hali inayowaathiri wananchi wengi kushindwa kupata huduma kwa wakati unaofaa.
Ni vyema wakajirekebisha na kuboresha ratiba ya usambazaji wa maji ili kuhakikisha wananchi wanapata maji ya kutosha na kwa muda unaoeleweka.
Mamlaka ya maji (SOUWASA) wamekuwa wakifungua maji usiku kuanzia saa 9 na kuyakata tena saa 11 usiku, hali inayowaathiri wananchi wengi kushindwa kupata huduma kwa wakati unaofaa.
Ni vyema wakajirekebisha na kuboresha ratiba ya usambazaji wa maji ili kuhakikisha wananchi wanapata maji ya kutosha na kwa muda unaoeleweka.