Jamni ENGINEERING SCIENCE/PHYSICS +MATHEMATICS they are still flowing in my VEINSBinafsi mie nilikuwa mzuri wa Biology, nilifaulu sana na kulead in class ila cha kushangaza, baada ya form six nikaenda kusoma uchumi in which sikufanya vizuri kabisa darasani. Nilipomaliza chuo nilipata kazi ila still kichwani Biology iliniita kila wakati mpaka nilipoamua kuirudia and now ninafuraha ya maisha na ni best scientist kwenye kada ninayofanyia kazi.
Nawashauri hata wengine, somo unalolifeel sana ndilo litakalokutoa maishani. Achana na kelele zikuzungukazo. Mf, mtu uko vzr kiswahili ila unang'ang'ania Physics mwishoe unakula F na kubaki unalialia. Si kila aliye na maisha mazuri kasoma masomo unayofikiria ndiyo leading. Wazazi tujifunze kuwashauri wanetu na pia kuwasoma nini wapendacho ili mbeleni kiwasaidie kuwa na furaha ya kazi zao. Si kila anayepata mshahara mkubwa ana furaha kazini.
Kazi nzuri ni ile uifanyayo toka ndani kwa furaha.
Je wewe ulipenda na kuliwezea somo gani?
wewe dada muogope mungu acha dhulumaCommerce &bookkeeping lkn necta nikafell bookkeeping ndo ikawa mwisho wake, A level nikasoma HGK nikaendelea na ushenzi ushenzi sasa hv ni mjasiriamali mzuri sitaki kuajiriwa wala nini, kiukweli napenda biashara hadi kutapeli, nikiwekwa mhasibu kwenye kikundi au taasisi yoyote lazima nipige mkwanja na sijawahi kushikwa popote nilikopita, yaani kupindisha mahesabu Vila kujulikana ndo zangu, wakati somo lenyewe nililisoma hadi form four tu daaah
Awa jamaa wata kutumbua mkuuVyeti vyenyewe nilifoji so sikumbuki hata somo gani nililokuwa naliweza.Nimeshatumbuliwa sasa hivi nipo zangu nacheza bao uswahilini.
Mm olevel nlkuag nafauru sana history yaan mitihan ya ndan nlpataga above B tu lkn necta ya fom 4 nkapata C na advance nkaenda sayansi na nkafauru lkn still naipendag saana history
Commerce &bookkeeping lkn necta nikafell bookkeeping ndo ikawa mwisho wake, A level nikasoma HGK nikaendelea na ushenzi ushenzi sasa hv ni mjasiriamali mzuri sitaki kuajiriwa wala nini, kiukweli napenda biashara hadi kutapeli, nikiwekwa mhasibu kwenye kikundi au taasisi yoyote lazima nipige mkwanja na sijawahi kushikwa popote nilikopita, yaani kupindisha mahesabu Vila kujulikana ndo zangu, wakati somo lenyewe nililisoma hadi form four tu daaah
whats your profession madam? are you a dr? an engineer??Mimi nilipenda sana hesabu na nilikuwa mtabe O'level, na sijutii kwa professional niliyonayo inalipa. Pamoja na kuwa nilikuwa naweza biology (nilipata A kwa A'level) ila baadaye nilirudia wito wangu wa hesabu ktk chaguzi za kozi chuo.
hamna kitu kibaya kama hiki!! ungekua mwaka wa kwanza ningekushauri uache mapemaNapenda sana Mathematics tena kutoka moyon kabisaa, ndoto zangu ilikua baada ya kumaliza form4 niende DIT kusoma Mec engineering lakini mwisho wa siku Math nikapata B, phy C, Chem D (CSEE 2011). "D" ya chemistry ikasababisha nishindwe kuchaguliwa DIT nikapelekwa Advance PCM. Advance sikufanya vizuri sana ila kwasasa nipo chuo flani nasoma bachelor of education(science) mwezi wakumi mwaka huu naingia mwaka watatu. Lakini naamini ipo siku moja nitakuja kusoma Automobile Engineering hata kwa level ya diploma(vigezo vya kusoma degree vimebadilika). Yani nasoma ualimu huku sina furah, kwani nahisi Mathematics ndio kilakitu kwangu
Umesoma Technical school, Hayo masomo nimesoma pia O level.Engineering science na Building construction
Physics au Engineering science make Technical drawing iko Technical school ambako hakuna Physics.Physcis na Technical Drawing