Somo ulilolipenda sana darasani

Somo ulilolipenda sana darasani

olevel... masomo ya sayansi

advance... geography hasa physical na adv. mathematics

chuo...structural design,general maths, design of irrigation systems, electrical engineering basics, computer na waste water management
 
Kemia raha sana ya olevel niliwahi gonga 100 form 3 kiukweli ndio somo nililolipenda zaidi niliposogea advance mmmh likaanza kua kiaina nikapenda biologia. ......
 
Binafsi mie nilikuwa mzuri wa Biology, nilifaulu sana na kulead in class ila cha kushangaza, baada ya form six nikaenda kusoma uchumi in which sikufanya vizuri kabisa darasani. Nilipomaliza chuo nilipata kazi ila still kichwani Biology iliniita kila wakati mpaka nilipoamua kuirudia and now ninafuraha ya maisha na ni best scientist kwenye kada ninayofanyia kazi.

Nawashauri hata wengine, somo unalolifeel sana ndilo litakalokutoa maishani. Achana na kelele zikuzungukazo. Mf, mtu uko vzr kiswahili ila unang'ang'ania Physics mwishoe unakula F na kubaki unalialia. Si kila aliye na maisha mazuri kasoma masomo unayofikiria ndiyo leading. Wazazi tujifunze kuwashauri wanetu na pia kuwasoma nini wapendacho ili mbeleni kiwasaidie kuwa na furaha ya kazi zao. Si kila anayepata mshahara mkubwa ana furaha kazini.

Kazi nzuri ni ile uifanyayo toka ndani kwa furaha.
Je wewe ulipenda na kuliwezea somo gani?

Biology na topic ni Reproductive Health.
 
Mimi nilipenda sana hesabu na nilikuwa mtabe O'level, na sijutii kwa professional niliyonayo inalipa. Pamoja na kuwa nilikuwa naweza biology (nilipata A kwa A'level) ila baadaye nilirudia wito wangu wa hesabu ktk chaguzi za kozi chuo.
 
Chemistry na English, lol! lakini sikuwa najua nikikomaa na chemistry ntaishia wapi mwisho wa siku nimejikuta kwa medical field huku mi bilikuwa napenda ma chemical rxn, partition etc! sikuwa naiweza sana biology lakini ndiyo inanipa ugali kwa sasa!
 
Commerce &bookkeeping lkn necta nikafell bookkeeping ndo ikawa mwisho wake, A level nikasoma HGK nikaendelea na ushenzi ushenzi sasa hv ni mjasiriamali mzuri sitaki kuajiriwa wala nini, kiukweli napenda biashara hadi kutapeli, nikiwekwa mhasibu kwenye kikundi au taasisi yoyote lazima nipige mkwanja na sijawahi kushikwa popote nilikopita, yaani kupindisha mahesabu Vila kujulikana ndo zangu, wakati somo lenyewe nililisoma hadi form four tu daaah

Duuuh, unatisha aisee
 
Chemistry na English, lol! lakini sikuwa najua nikikomaa na chemistry ntaishia wapi mwisho wa siku nimejikuta kwa medical field huku mi bilikuwa napenda ma chemical rxn, partition etc! sikuwa naiweza sana biology lakini ndiyo inanipa ugali kwa sasa!

Biology mpango mzima
 
Advanced Physics and Advanced Mathematics. PCM pale oldmoshi secondary school, chini ya mwalim kinunda. sitokaa nimsahau maana ni moja kati ya watu walioplay part kubwa saana kunifikisha hapa nilipo. hakika niliyafurahia saana masomo yangu. na namshukuru Mungu nilifaulu kwa kiwango cha juu kabisa kwenda university na sasa naitendea haki elimu yangu.
 
Napenda sana Mathematics tena kutoka moyon kabisaa, ndoto zangu ilikua baada ya kumaliza form4 niende DIT kusoma Mec engineering lakini mwisho wa siku Math nikapata B, phy C, Chem D (CSEE 2011). "D" ya chemistry ikasababisha nishindwe kuchaguliwa DIT nikapelekwa Advance PCM. Advance sikufanya vizuri sana ila kwasasa nipo chuo flani nasoma bachelor of education(science) mwezi wakumi mwaka huu naingia mwaka watatu. Lakini naamini ipo siku moja nitakuja kusoma Automobile Engineering hata kwa level ya diploma(vigezo vya kusoma degree vimebadilika). Yani nasoma ualimu huku sina furah, kwani nahisi Mathematics ndio kilakitu kwangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom