Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 14,976
Niko hotel..Kesho nikiamka ntawaulizaNi kweli?
Niko hotel..Kesho nikiamka ntawaulizaNi kweli?
Sio kweliMwanzilishi wa hoteli alikufa akiwa chumba namba 13.
Kwa hiyo ili kumuenzi, chumba chake kikawa hakitumiki, na hivyo, wanaofanya huduma za nyumba za kulala wageni hawaweki namba 13 maana haitumiki
Fid Q amezaliwa August 13.Leo’s born on August 13th are under the influence of Sun, ruler of the zodiac sign and Uranus, governor of the date. Due to this, the personality traits and characteristic features of these individuals are varied and unique. While the Sun brings about independence, confidence and warmth in their personality, the planet Uranus adds adaptibility, steadfastness and generosity. People with this birthdate usually work hard to achieve their goals and are self-sufficent. They do not need the opinion or help of others but are always there when anyone is in need. They seek for perfection in whatever they do. This can be a cause of worry as sometimes it can work againt their favor. August 13th individuals can be moody, temperamental, oversentive and insecure
Nmefarijika kuona hili jibu maana mwandishi amenitisha maana nami ni wa ni wa tarehe hyo.
Hii thread kwanini isiunganishwe na hii?Mara Nyingine number 13 watu huichukulia kama namba ya mkosi ,
Lakin tunajiuliza sana kwanini watu huchukulia namba 13 kama namba ya mkosi, yanayosemwa yanamaana kubwa sana ndo maana leo hii katika
1.Hotel kubwa za kimataifa ukiangalia vyumba vyote kwa namba ukifika namba 12 wanairuka namba 13 wanaandika chumba kifuatacho namba 14, nimefanya research hii kwa muda mrefu sana na kwa umakini zaid, nimegundua hotel kubwa tena zinazoheshimika kimaiafa hawana chumba namba 13,
2. Kwenda ndege , hakuna sit namba 13 ukifika kumi na mbili wanaruka kwenda 14, ni ndege kubwa sana zaid ya bomberdier, namaanisha kwa wale mnaosafiri Mara kwa Mara chunguza kwenye ndege kubwa kama Emirates, Fly Dubai, Etihad, KLM, Qatar airways, British airways na nyinginezo hawana namba 13, bali wana 12 na 14, tu
3. Ijumaa ambayo tarehe yake ni 13 huwa ni siku ambayo watu wengi hawapangi mipango yao kabisa kufanya biashara au safari usitisha mpaka siku inayofuata,
4. Waliozaliwa tarehe 13 Mara nyingi huwa inakuwa ngumu kutoka kimaisha mpaka watumie nguvu kubwa sana kuweza kufika malengo yao, na saa nyingine hukusanya mtaji na kuibiwa, huchikiwa, usingiziwa kila Mara na huonekana hawana maana ndani ya jamii, inahitajika nguvu ya ziada kuyakwepa
KWANINI HASA NAMBA 13 HUSEMEKANA NI NAMBA YA MKOSI?? NA ILIANZAJE
Kwanza watu wanaoendekeza kuogopa namba 13 wana kitu kinaitwa triskaidekaphobia yaan waoga wa namba 13
Namba au mkosi wa namba 13 uhusishwa na ukristo kwa maana kwamba namba 13 katika biblia ina maana yake,
1. Mlo wa mwisho wa yesu alikuwa na wanafunzi wake 12 lakin yule wa 13 ambaye hakuwepo ni Yuda aliyemsaliti , kwahiyo inaonekana usaliti wa huyo mtu wa 13 ulipelekea Yesu kuteseka mno,,
2.Katika wathesalonike inaonesha kwamba ishara ya shetani imejitokeza Mara 13
3.Ilithibitika kwamba kuna tabia au sifa 13 za watu wafuasi wa Shetani soma warumi (1:28-32)
3.Siku ya 13 ya mwezi wa kwanza Haman alisaini makubaliano ya kuwa wayaudi wanapaswa kuuwawa siku ya 13 ya mwezi wa 12 (Esther 3:7 - 9).
4.Kuanguswa na kusurubiwa kwa yeriko ilitiwa muhuri na namba 13
5.Mfalme Suleiman alitumia miaka 7 akijenga mnara wa Yerusalemu, lakin cha kushangaza alitumia miaka 13 kwa tabu kujenga nyumbani kwake
(1wafalme 6:38). Na (1wafalme 7:1)!
6.Kuna njaa 13 zilitajwa kwenye biblia
(Mwanzo 12:10, 26:1, 41:54; Ruthu 1:1; 2Samuel 21:1; 1wafalme 18:1; 2wafalme 4:38, 7:4, 25:3; Nehemiah 5:3; yeremia 14:1; Luke 15:14 na matendo ya mitume 11:28.
7.Ishmael, mtoto wa kwanza wa Abraham (kwa Hagar), alitahiriwa(kuondoa uchafu kuwa mwana wa mungu kamili) akiwa na miaka 13 (mwanzo 17:25)
NAMBA 13 NI YA KUANGALIA KWA MAKINI
Britannica
Uko na nani huko hoteliNiko hotel..Kesho nikiamka ntawauliza
Ewaaa, nilitaka kusema aliyeko hotel atuletee ushahidiIlikuwa zamani ila kwa sasa namba hiyo ipo gest nyingi tuView attachment 1127729
Leo’s born on August 13th are under the influence of Sun, ruler of the zodiac sign and Uranus, governor of the date. Due to this, the personality traits and characteristic features of these individuals are varied and unique. While the Sun brings about independence, confidence and warmth in their personality, the planet Uranus adds adaptibility, steadfastness and generosity. People with this birthdate usually work hard to achieve their goals and are self-sufficent. They do not need the opinion or help of others but are always there when anyone is in need. They seek for perfection in whatever they do. This can be a cause of worry as sometimes it can work againt their favor. August 13th individuals can be moody, temperamental, oversentive and insecure
Kwa hiyo umeshapata mmoja? Labda alipiga picha hiyo siku nyingi..!?Ewaaa, nilitaka kusema aliyeko hotel atuletee ushahidi
Mfano mzuri wa kimaisha ni Fid q kazaliwa August 13