Siri usiyoijua kuhusu no 13 kwa wazungu?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,638
697,929
Sisi huku ni poa tu hatuna uzingativu wa kivile kwenye umakini wa namba na maana zake lakini wenzetu wako sensitive sana kwakuwa wanaamini ulimwengu unaendeshwa na namba (secret codes). Wao wanaweza kuahirisha tukio muhimu kwakuwa tu wakipiga hesabu ya namba ama wakiangalia tarehe itaangua isiyofaa kiroho
Michael Jackson aliwahi kuomba madaktari wafanye wawezavyo mwanae asizaliwe tarehe 13 kama vipimo vilivyokuwa vinaonesha

Hotel zote kubwa ulimwenguni hazina chumba no 13, hata lift zake kwenye majengo marefu.. Kwa maana ya kwamba hakuna floor no 13.. Ukichunguza utakuta ni 12 halafu ifuatayo ni 14..
Hata mashirika mengi ya ndege! Ndege zao hazina siti no 13. Bila kusahau hospital kubwa duniani ni ngumu kukuta chumba no 13

Je sababu ninini no 13 kuogopeka kiasi hiki? Wenzetu wao wanaamini number hiyo ni namba ya mikosi,mabalaa na hata kifo.. Namba iliyojaa nuksi na isiyo na bahati
.Kwa imani ya kikristo ni idadi ya wanafunzi walioshiriki meza ya Bwana kabla Yesu hajakamatwa walikuwa 12 na wa 12 alikuwa ni Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.. Jumla watu 13 pamoja na Kristo
.Kwenye kadi za utabiri za tarot no 13 ni kadi ya kifo, hivyo ikikuangukia hiyo kadi kupatwa na jambo lolote baya ni kitu kisichoshindikana kabisa
. Kwenye vizimba vya kunyongea zamani nchi kama marekani vilikuwa na ngazi 13 kabla ya kufikia kitanzi
.Kamba ya kitanzi cha kunyongea ina mizunguko 13 ili kuweza kutengeneza kitanzi imara

Haya na mengine mengi yameifanya no 13 kuwa namba tishio kwa wenzetu huku kukiwa na mifano hai kibao na documentary za kutosha sana!

Kwa wachina ni namba 4.. Sidhani kama sisi tunayo
e8ab0c3b-029a-4367-ac3c-4410998710cb.jpg
Friday 13th siku mbaya inayoogopwa mno na Wazungu Friday 13th siku mbaya inayoogopwa mno na Wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na zipi ni siku na namba za bahati
Kwa imani ipi?

Number 13 also holds an extremely potent feminine energy and is considered to be the number of – Death and rebirth Creation Fertility Blood This is because we have 13 Moon cycles every year and the average female also experiences 13 periods per year. If a woman’s periods are in sync with the cycle of the Moon, she will shed her lining on the New Moon and ovulate on the Full Moon.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshsna. Ni kerli unachoongea. Ungeyuambia kuwa hsmba23 haijandikwa ila ipo ukianza kuhesabu toka moja. Practicslly ipo ile yheoreyically haipo au haija andikwa. Numbers are just symbol or mark which represent a physical wuantity or object or imaginary idea.
Kama mmezaliwa 14 utasemaje mtoto 13 hayupo.
How do you avoid something which exist?
 
Ukitaka kujua huu ni uongo waambie wakupe namba za bahati, Baraka na Neema unakuta hizo hizo ndo unapata mabalaaa na majanga kibao. Tukubaliane tu, balaaa na mikosi haitokani na namba Wala siku. Ni kumwomba Mungu tu atuepushe.
Lakini kumbuka dunia inaendeshwa na hesabu za namba za siri..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshsna. Ni kerli unachoongea. Ungeyuambia kuwa hsmba23 haijandikwa ila ipo ukianza kuhesabu toka moja. Practicslly ipo ile yheoreyically haipo au haija andikwa. Numbers are just symbol or mark which represent a physical wuantity or object or imaginary idea.
Kama mmezaliwa 14 utasemaje mtoto 13 hayupo.
How do you avoid something which exist?
How do you avoid something which exist?
By creating perception of it can be(come)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How do you avoid something which exist?
By creating perception of it can be(come)

Sent using Jamii Forums mobile app
So you imagine that it doesn't exist! but you can see, touch etc. You mean Spirituality is imagination not reality? If it is imagination how does 13 affect you? or it act the same, in imaginary way ! and if that is the case how do you prove to us its negative effect.
How much have we been affected by that no. Since we don't care about it and we have no knowledge about it?
If 13 affect people then 26 then 39 etc. According to periodic nature of physical world, those no have the same behavior. What can you say mr Mshana?
 
So you imagine that it doesn't exist! but you can see, touch etc. You mean Spirituality is imagination not reality? If it is imagination how does 13 affect you? or it act the same, in imaginary way ! and if that is the case how do you prove to us its negative effect.
How much have we been affected by that no. Since we don't care about it and we have no knowledge about it?
If 13 affect people then 26 then 39 etc. According to periodic nature of physical world, those no have the same behavior. What can you say mr Mshana?
It all starts and ends with belief! When you believe... Or when you don't believe..
When you believe you create...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom