DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Mkosi ni imani tunayojijengea kichwaniMkosi ni pale tarehe 13 inapoangukia Siku ya ijumaa
Mkosi ni imani tunayojijengea kichwaniMkosi ni pale tarehe 13 inapoangukia Siku ya ijumaa
ndomana ngosha katoboa tz tu ila nje ya nchi hawamjui. Huu kwei mkosi
Star Lodge hapo tabora njia ya kwenda kitete hicho chumba kipo na nimeishalala humoKuna siri gani kuweka namba 13 gest? Kama kuna mjuzi yyte aniambie
Shangaa na weweYesu alikuwa na wanafunzi 13?
Bwana wetu Yesu Kristu alikua na Wanafunzi 12,pamoja na yeye jumla ni 13.Shangaa na wewe
Kalale tenaStar Lodge hapo tabora njia ya kwenda kitete hicho chumba kipo na nimeishalala humo
Acheni uongo wenu
chumba chKE Hakitumiki?Mwanzilishi wa hoteli alikufa akiwa chumba namba 13.
Kwa hiyo ili kumuenzi, chumba chake kikawa hakitumiki, na hivyo, wanaofanya huduma za nyumba za kulala wageni hawaweki namba 13 maana haitumiki
Kombw linaihusu team!sio mchezajiKabeba kombe mara ngapi?
Tujipongeze mkuu, tar moja na mwezi mmoja!!!! nahitaji uwe rafiki pls!!si kweli, mimi nimezaliwa tarehe 13 october, mbona yangu yananiendea vizuri tu, na jamii inanikubali sana..yan sana
dadavua kidogo boss kashatujaza uoga huyuNamba 13 sio namba ya mkosi, ni namba ya ukamilifu kama namba 4.
daaah hunifikii mimiNmefarijika kuona hili jibu maana mwandishi amenitisha maana nami ni wa ni wa tarehe hyo.
Ailuuuuuuuluuuuuuuuuuuuuuu hekooooooNo13,ni namba kuu,inaogopwa na ulimwenguu huu, inaogopwa na wachawi, wanga, freemasons ,wasioamini uwepo wa Mungu, na ndo maana hawataki kuiona,hii namba,inawakera sana na huharibu mipango yao ni namba yenye nguvu sana kwenye ulimwengu wa Roho, na ndo maana hawataki kuiona kabisa. Huwezi kuta kwenye vitu vyao kuna hii namba kuanzia mahotel, mahospital mpaka vyombo vya usafiri.Nikuibie tu Siri watu waliozaliwa tarehe hizi hawasumbuliwi sana na nguvu za giza,na magonjwa, ni wenye bahati, hujiamini, na wenye mafanikio.
Kwa wale Waroman Catholic wenzangu mtakumbuka siku Mama Bikira Maria Alizokua Akiwatokea Watoto Wa Fatima, ni kila tarehe 13,ya mwezi kasoro mwezi wa nane walipopatwa na misukosuko ya kuwekwa gerezani.
Cc. Mshana. Jr
Comment yako ni ya #13 mkuu.Somo letu: Wajua kwanini namba 13 ni namba ya mkosi? Je, umezaliwa tarehe 13?
Mara Nyingine number 13 watu huichukulia kama namba ya mkosi , Lakini tunajiuliza sana kwanini watu huchukulia namba 13 kama namba ya mkosi, yanayosemwa yana maana kubwa sana ndio maana leo hii katika 1.Hotel kubwa za kimataifa ukiangalia vyumba vyote kwa namba ukifika namba 12 wanairuka namba...www.jamiiforums.com