Kua nao karibu mkuu na utafanikiwa ajabuMkuu, hili ni jambo fikirishi ufamahu zaidi unahitajika. Si vibaya kama utaendelea kutujuza zaidi kila mara unapopata ufahamu mpya. Kwa sasa siyo mbaya, umeweka msingi, nitakua makini sana na mademu wenye figure number 13
Huoni anaimba sana na tungo nzuri kuliko msanii mwingine hapa bongo ila hajafanikiwa sana pitia mziki kama diamondFiD Q alizaliwa August 13
Hatari mkuu mimi hata kwenye basi sitapanda tena kwenye siti namba 13Mkuu, hili ni jambo fikirishi ufamahu zaidi unahitajika. Si vibaya kama utaendelea kutujuza zaidi kila mara unapopata ufahamu mpya. Kwa sasa siyo mbaya, umeweka msingi, nitakua makini sana na mademu wenye figure number 13
Kuna hotel moja ikifika 12 wanaweka 12 A ,alafu 14 iko Italy huwa nalala pale mara nyingi nimeshajiuliza mnoHiyo ya mahoteli ni kweli ila sikujuaga ni nini sababu hususan baadhi za hoteli za kihindi
Yesu alikuwa na wanafunzi 13?1. Mlo wa mwisho wa yesu alikuwa na wanafunzi wake 12 lakin yule wa 13 ambaye hakuwepo ni Yuda aliyemsaliti , kwahiyo inaonekana usaliti wa huyo mtu wa 13 ulipelekea Yesu kuteseka mno,,
Hivi kuna jezi ya mpira wa miguu yenye namba 13?
Tusaidiane kidogo. Bw Yesu ilikuwa na wanafunzi 12. Katika karamu ya mwisho yeye alikuwa wa 13. Lakini kwa habari ya kufa ukiwa Mtu wa 13, bado kuna walakini kwa sababu Yuda iskariote ndiye aliyekuwa wa kwanza kufa kabla ya yule wa 13.Yesu alikuwa na wanafunzi 13?
Hii ni kulazimisha hoja.Lakini kwa habari ya kufa ukiwa Mtu wa 13, bado kuna walakini kwa sababu Yuda iskariote ndiye aliyekuwa wa kwanza kufa kabla ya yule wa 13.
Acha ujinga kutukuza vitu visivyo na unasaba na asili yako. Mhaya gani kilaza hivyo? Hivi huko shuleni mlienda somea UJINGA?Nenda kwenye mifano nilokupa
Nipo mkuu nimebanwa na majukumu ila nipo sana jukwaa pendwa la siasa...UMEPOTELEA WAPI MKUU MAANA SIJAKUONA HAPA MUDA
Mimi sijui,ila nahisi atakuwa aliaga mashindano.Mboma yuko wapi?
Hii ni kulazimisha hoja.
Wapo wengine kama Thomas Mueller, Julious Nyerere, Fid Q n.kFidel Castro,General Mboma,Fid Q na mimi Tua ngoma tumezaliwa August 13 hapa nikiamka asubuhi kesho naenda kusaini mkataba wa mamilioni.
Wahindi ni wachawi sana naskia pia waarabu, wachina, Haiti, Nepal hao ndugu ni mwisho.Hiyo ya mahoteli ni kweli ila sikujuaga ni nini sababu hususan baadhi za hoteli za kihindi