Hahaha hatariFidel Castro,General Mboma,Fid Q na mimi Tua ngoma tumezaliwa August 13 hapa nikiamka asubuhi kesho naenda kusaini mkataba wa mamilioni.
Yeah
nyerere na mimi april 13Mfano mzuri wa kimaisha ni Fid q kazaliwa August 13
Ni kweli kabisa!Namba 13 sio namba ya mkosi, ni namba ya ukamilifu kama namba 4.
Kumbe leo nimepata somohata katika majengo makubwa hakuna floor ya 13 ikitoka 12 inakuja 14
Japan hamna floor ya 4, jipime na maisha yako alafu trust your own intuition walahi!hata katika majengo makubwa hakuna floor ya 13 ikitoka 12 inakuja 14
Ubarikiwe sana!Fidel Castro,General Mboma,Fid Q na mimi Tua ngoma tumezaliwa August 13 hapa nikiamka asubuhi kesho naenda kusaini mkataba wa mamilioni.
Mboma yuko wapi?Fidel Castro,General Mboma,Fid Q na mimi Tua ngoma tumezaliwa August 13 hapa nikiamka asubuhi kesho naenda kusaini mkataba wa mamilioni.
UMEPOTELEA WAPI MKUU MAANA SIJAKUONA HAPA MUDAHuu ni upuuzi wa kiwango cha fly over ya tazara..nimesahau daraja la tazara