Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,290
- 1,126
Hao anaokunywa nao pombe ndo wanamfanya apate hela au labda kama hela unampa we we!Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
Siku tukipata katiba mpyaTumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
usituzowee fata yakoo...Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
Mbn angejuta mtoa mada ktk lile jukwaaKwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko kuna uzi maalumu wa wanywa pombe, ingependeza kama ungewafuata kule kule
Wanakera eeeet!Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
si kwa povu hili Kritika, sabuni imekolea kwelikweli, wanaume ushauri huo kazi kwenuu
Dah...ngoja niseme ukweli tu....msema kweli mpenzi wa Mungu....nimesoma zaidi ya mara 100...ila sijaona somo lolote hapa ....😎Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
Tutake radhi kwanza kwa kutuita ""MADUDE"" umetudhalilisha (in ngosha voice)Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
sio wote wengine tukienda out lazima twendwe na BAE kurudi mapema na watoto wako katika care nzuri ya kuridhisha kwa wote. huyoo ni tungi master bado anaa u bachelorTumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
Tumia muda wako mwingi kukaa (ku spend) na familia yako, hao unaokunywa nao pombe iko siku watakuzimia simu mxieeeew.
Unakuta lijanaume hata watoto hawalijua linatoka asubuhi linarudi saa saba usiku lipo tungi halijui hili wala lile,unafikiri huo ndio uwanaume???
Sijui yatabadilika lini haya madudee
Ukiona Mme anarudi kwake saa 7 usiku jua nyumba ushageuza kituo cha polisi kesi na malalamiko hayeshi so huona bora akute mlalamikaji kalala na malalakiwa hayuko zahiri hapo hapo kesi haiwezi kuendelea.mwanawake mkipunguza malalaniko tutafurahia kukaa majumbani kwetu mapema