Somo kuhusu viatu vya ngozi, ni watanzania wachache sana wanaovaa viatu vya ngozi vipya

Wadau kuna Cha kujifunza katika Uzi huu. Ni kweli tuko nyuma katika sekta ya ngozi lakini tumeanza kujitambua. Inatubidi tupige hatua zaidi kufikia Kama mataifa yaliyoendelea katika sector ya ngozi. Huwezi fika kumi bila kuanza na moja. Sisi binafsi tunajihisha na uzalishaji wa bidhaa za ngozi Kama vile viatu, mikanda, wallet, begi za laptop n.k kwa kutumia ngozi za hapahapa Tanzania.Bei za viatu ziko Kati ya 35,000-100,000 Ni kutegemeana na aina na ubora wa ngozi. Ona baadhi ya bidhaa zetu
IMG-20180828-WA0068.jpeg
IMG_20180822_163520_064.jpeg
IMG_20180822_164312_917.jpeg
IMG-20181203-WA0006.jpeg
IMG-20181128-WA0013.jpeg
IMG_20190101_223000_459.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kuna Cha kujifunza katika Uzi huu. Ni kweli tuko nyuma katika sekta ya ngozi lakini tumeanza kujitambua. Inatubidi tupige hatua zaidi kufikia Kama mataifa yaliyoendelea katika sector ya ngozi. Huwezi fika kumi bila kuanza na moja. Sisi binafsi tunajihisha na uzalishaji wa bidhaa za ngozi Kama vile viatu, mikanda, wallet, begi za laptop n.k kwa kutumia ngozi za hapahapa Tanzania.Bei za viatu ziko Kati ya 35,000-100,000 Ni kutegemeana na aina na ubora wa ngozi. Ona baadhi ya bidhaa zetuView attachment 985547View attachment 985548View attachment 985549View attachment 985550View attachment 985551View attachment 985552

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona naona kuna ngozi famba hapo halafu mnatumia soli mbaya za bei rahisi hivyo mnaondoa thamani ya ngozi mliyoitumia.
 
Mbona naona kuna ngozi famba hapo halafu mnatumia soli mbaya za bei rahisi hivyo mnaondoa thamani ya ngozi mliyoitumia.
Hakuna ngozi famba hapo. Zote hizo ni ngozi. Ukipata nafasi pitia maduka ya WOISO (WOP) ambako hata sie hununua ngozi zote huko. Wana ngozi aina nyingi saana. Pia haohao WOISO huwauzia ngozi wa-Italy ndio mtashangaa Sasa.

Kuhusu sole, napenda nikujibu kwa jicho la kijasiriamali, ktk biashara yoyote angalia components zoote zinazoathiri pricing. Kweli kabisa utake kiatu Cha 35,000 halafu unahitaji sole premium? Kwa hiyo Bei ndio inaamua aina ya sole ya kutumia. Tunatengeneza sole hadi za ngozi. Kiatu Cha sole ya ngozi tunauza kuanzia 100,000. Tunatengeneza hadi Italian shoes kwa ufanisi mkubwa.

Ubora wa Sole kwa mtazamo wa kitaalamu, sole ziko za aina tofautitofauti Kama vile TPU,PU,TPR,CPU,PVC,RUBBER n.k. nilizozitaja hapo ndio maarufu duniani. Wakati watumiaji wanajua sole za Rubber tu.hata ukimwambia kuwa siyo rubber anakataa. Kwa hiyo, sekta ya bidhaa za ngozi inahitaji uelewa wa mambo yote hayo. Kiatu purely Cha Italy unanunua kwa 200,000-900,000 halafu unataka Mimi nitengeneze same quality kwa 35,000-70,000 unategemea Nini? . Tuanze kwa kuthamini vyetu Kwanza kisha mtukosoe (Constructive criticism )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna ngozi famba hapo. Zote hizo ni ngozi. Ukipata nafasi pitia maduka ya WOISO (WOP) ambako hata sie hununua ngozi zote huko. Wana ngozi aina nyingi saana. Pia haohao WOISO huwauzia ngozi wa-Italy ndio mtashangaa Sasa.

Kuhusu sole, napenda nikujibu kwa jicho la kijasiriamali, ktk biashara yoyote angalia components zoote zinazoathiri pricing. Kweli kabisa utake kiatu Cha 35,000 halafu unahitaji sole premium? Kwa hiyo Bei ndio inaamua aina ya sole ya kutumia. Tunatengeneza sole hadi za ngozi. Kiatu Cha sole ya ngozi tunauza kuanzia 100,000. Tunatengeneza hadi Italian shoes kwa ufanisi mkubwa.

Ubora wa Sole kwa mtazamo wa kitaalamu, sole ziko za aina tofautitofauti Kama vile TPU,PU,TPR,CPU,PVC,RUBBER n.k. nilizozitaja hapo ndio maarufu duniani. Wakati watumiaji wanajua sole za Rubber tu.hata ukimwambia kuwa siyo rubber anakataa. Kwa hiyo, sekta ya bidhaa za ngozi inahitaji uelewa wa mambo yote hayo. Kiatu purely Cha Italy unanunua kwa 200,000-900,000 halafu unataka Mimi nitengeneze same quality kwa 35,000-70,000 unategemea Nini? . Tuanze kwa kuthamini vyetu Kwanza kisha mtukosoe (Constructive criticism )

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeeleweka mkuu.. mimi kuna moka nilinunua made in Ethiopia ni balaa. Nilichukua pair 4 sasa nataka zingine ila jamaa wame ama. Nitumie namba yako, nitataka nione bidhaa zako then tunaeza fanya biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeeleweka mkuu.. mimi kuna moka nilinunua made in Ethiopia ni balaa. Nilichukua pair 4 sasa nataka zingine ila jamaa wame ama. Nitumie namba yako, nitataka nione bidhaa zako then tunaeza fanya biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati fulani nikiwa jijini Addis Ababa nchini Ethiopia nilinunua viatu vizuri sana pure leather katika moja ya maduka yao ya kisasa kwa bei ndogo sana kama TZS 25,000/= hivi. Nilipouliza wenyeji kwa nini bei ni ndogo vile kwa viatu vyenye ubora kiasi kile wakanieleza kwamba nchini mwao kuna ng'ombe wengi sana na kuna wakati kunakuwa na ukame sana unaopelekea ng'ombe wengi kufa. Uwepo wa ng'ombe wengi na ufaji wake ni baadhi ya vitu vinavyochangia bei ya ngozi na viatu vya ngozi nchini humo kuwa ya chini sana. Pia niligundua kwamba viatu vingi madukani ni vya size ndogo au medium kuliko size kubwa kama size namba 9, 10 na kuendelea kutokana na maumbile ya wengi wao kuwa madogo pengine yakichangiwa na lishe ndogo kutokana na ugumu wa maisha kule.
 
Wakati fulani nikiwa jijini Addis Ababa nchini Ethiopia nilinunua viatu vizuri sana pure leather katika moja ya maduka yao ya kisasa kwa bei ndogo sana kama TZS 25,000/= hivi. Nilipouliza wenyeji kwa nini bei ni ndogo vile kwa viatu vyenye ubora kiasi kile wakanieleza kwamba nchini mwao kuna ng'ombe wengi sana na kuna wakati kunakuwa na ukame sana unaopelekea ng'ombe wengi kufa. Uwepo wa ng'ombe wengi na ufaji wake ni baadhi ya vitu vinavyochangia bei ya ngozi na viatu vya ngozi nchini humo kuwa ya chini sana. Pia niligundua kwamba viatu vingi madukani ni vya size ndogo au medium kuliko size kubwa kama size namba 9, 10 na kuendelea kutokana na maumbile ya wengi wao kuwa madogo pengine yakichangiwa na lishe ndogo kutokana na ugumu wa maisha kule.
Mkuu ata hizo moka nilizo chukua ni balaa.. niliwapelekea wateja wengi. Kuna kiwanda kinajengwa nasikia kitaleta mapinduzi kwenye hii sekta hapa bongo.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Wakati fulani nikiwa jijini Addis Ababa nchini Ethiopia nilinunua viatu vizuri sana pure leather katika moja ya maduka yao ya kisasa kwa bei ndogo sana kama TZS 25,000/= hivi. Nilipouliza wenyeji kwa nini bei ni ndogo vile kwa viatu vyenye ubora kiasi kile wakanieleza kwamba nchini mwao kuna ng'ombe wengi sana na kuna wakati kunakuwa na ukame sana unaopelekea ng'ombe wengi kufa. Uwepo wa ng'ombe wengi na ufaji wake ni baadhi ya vitu vinavyochangia bei ya ngozi na viatu vya ngozi nchini humo kuwa ya chini sana. Pia niligundua kwamba viatu vingi madukani ni vya size ndogo au medium kuliko size kubwa kama size namba 9, 10 na kuendelea kutokana na maumbile ya wengi wao kuwa madogo pengine yakichangiwa na lishe ndogo kutokana na ugumu wa maisha kule.
Sababu nyingine ya viatu vya Ethiopia kuwa na Bei ndogo Ni Leather industry yao imekuwa kubwa saana. Kiasi kwamba, Kuna wawekezaji wengi wa nje wameenda kuwekeza kule kwenye uzalishaji wa sole,buckles,ngozi n.k na kufanya inputs zote zishuke Bei locally. Kwa hiyo automatically Bei za products zao zitakuwa rahisi. Wakati sisi watz leather industry iko chini, hakuna investors ktk sector hii , fikiri Bei ya sole huanzia 3,000-10,000 Bei ya ngozi 1sqf huanzia 3,000-8,000. Hata technical technical assistance kuhusu ngozi na viatu ni changamoto. Mimi niliingia zaidi ya 10m, nikaleta mtu kutoka nje kuja kufundisha timu yangu. That's why nina confidence na products zangu. Kwa hiyo vitu hivyo hupelekea Bei kwenda juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ata hizo moka nilizo chukua ni balaa.. niliwapelekea wateja wengi. Kuna kiwanda kinajengwa nasikia kitaleta mapinduzi kwenye hii sekta hapa bongo.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Miaka ya nyumba pale Mwanza kuna jamaa mmoja hivi mchaga alikuwa na kiwanda cha bidhaa za ngozi jirani na MWATEX au VETA njia ya kwenda Igoma alikuwa akitengeneza bidhaa nzuri sana za ngozi halisi na akawa anakuja na hizo bidhaa zake pale kwenye maonyesho ya Sabasaba, Dar. Sijui huyu mjasiriamali aliishia wapi. Jina lake na la kiwanda vimenitoka kidogo. Lakini alikuwa akitengeneza bidhaa bora kabisa za ngozi halisi ya nyoka, ng'ombe, mamba, chui n.k. kama viatu, mabegi, makoti, kofia, mifuko ya kuwekea bunduki kubwa na bastola (holsters) n.k.
 
Back
Top Bottom