dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,332
- 1,862
Hii Dunia haiishi viroja.
Huku Dada zetu, Wabantu kama mimi wakipishana kuingia Maduka ya Vipodozi hadi wengine kufikia hatua ya kujidhuru kutokana na kupaka mikorogo isiyo ya viwango maalum ilimradi tu wawe na ngozi nyeupe (Kama Wazungu) wakiamini pengine inavutia zaidi ya ile waliyojaaliwa na Muumba wao.
Huko Ulaya, Nchini Ujerumani yupo mwanadada mmoja Muigizaji,
Yeye sasa amefanikiwa lakini kinyume na tulivyozoea Ms. BIG ni Mzungu (Blonde) kwa Asili kwa maana ya- kwakuzaliwa.
yeye alitamani kufanana na Muafrika sijui ndio tuseme amefanikiwa? Kwani kaweza kuibadilisha Ngozi ya mwili mzima ikiwemo na Rangi ya Macho yake mithili ya Muafrika yaani Mbantu kabisa kama wewe na mimi.
Tuliyokuwa tukiambiwa siku zote kwamba 'Kua uyaone' nadhani ndio haya sasa.
Nawasilisha.
Huku Dada zetu, Wabantu kama mimi wakipishana kuingia Maduka ya Vipodozi hadi wengine kufikia hatua ya kujidhuru kutokana na kupaka mikorogo isiyo ya viwango maalum ilimradi tu wawe na ngozi nyeupe (Kama Wazungu) wakiamini pengine inavutia zaidi ya ile waliyojaaliwa na Muumba wao.
Huko Ulaya, Nchini Ujerumani yupo mwanadada mmoja Muigizaji,
Yeye sasa amefanikiwa lakini kinyume na tulivyozoea Ms. BIG ni Mzungu (Blonde) kwa Asili kwa maana ya- kwakuzaliwa.
yeye alitamani kufanana na Muafrika sijui ndio tuseme amefanikiwa? Kwani kaweza kuibadilisha Ngozi ya mwili mzima ikiwemo na Rangi ya Macho yake mithili ya Muafrika yaani Mbantu kabisa kama wewe na mimi.
Tuliyokuwa tukiambiwa siku zote kwamba 'Kua uyaone' nadhani ndio haya sasa.
Nawasilisha.