siyo bomu Manka..hawa watoto wako vizuri.
tena wale wa asili..
hakuna mwanamke bora kama mwenye umbo na sura mbaya....wengi wa wenye visura vizuri na maumbile mazuri, kuwaoa ni kujitafutia maradhi ya magunjwa yasiyoambukiza na vurugu ndani ya nyumba....labda kama ni kuchepukia tu.
Nilikuwa napuuza sana sifa wanazopewa Wahaya
on their beauty..
Baada yakuwaona mwenyewe tena huko vijijini kwao. Nimeamini..
Kwa uzuri na muonekano wa nje, really Wahaya ni wazuri..
Rangi zao na maumbo yao ni mazuri!!
Wengi wao ni weusi afu rangi zao zinavutia..
Kifuani na kwa nyuma wengi wao wako vizuri
Sijui sasa kwa upande mwingine(behavior & sex)
wakoje, kupima hiki kipengele ni vigumu.
Compare na maeneo mengine, kwa uzuri nawapa credit!!
You chagga girls on ur natural beauty generally hamwafikii wahaya (si shindanishi) ila ndiyo ukweli huo..
Najua kuna watu watakuja hapa na dhana ya "beauty is on the eyes of beholder"... wapi bana? shape and colour ndiyo uzuri wa macho ulipo...
- wahaya hawana kazi za shurba...ndio maana hata umtoe kijijini anakuwa laini...
- kuna aunt yangu alikuja toka bush...ana mng'ao kusema kakulia town...hakuna cha mtoto wa kike kuchunga wala kulisha ng'ombe...hata kilimo ni cha palizi tu sababu ndizi ukipanda umepanda...mikoa mingine mwanamke analima zaidi ya trekta..what do you expect...?
hawa si ndo wale naskiaga sijui wana chemchem sijui visima vya maji eti
yeees!! sasa hizo sample kule zimejaa kibao..
afu huko ndani ndani sasa..