MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
asante atleast nimetoa kutu
Yes binadamu tupendane wamasai ndugu zangu sana kuna dada rafiki angu alinitafutia dawa ya kukausha mafuta usoni.... Now niko softi kama yeye... Pia alitutapatia dawa ya sikio mtoto alipona mara moja yani ni mambo mengi sana.....
Wamasai hawana shida kwa kweli
Kwa upande wa wakaka ndio kabisaaaa peace and love