bella girl
Member
- Sep 22, 2014
- 24
- 7
Manka m na mimi nisaidie dawa ya kukausha mafuta usoni
Wewe nawe...aiiii...
Aibu naona mie...
Hiyo research yako ume publish kwenye journal gani niitafute????
Afu unashangaza kusema STDs zinatokana na uchafu?
Mbona mnapenda kutuonea kijicho hivyo...
Mlianza na kusema oooh wahuni ndio maana ukimwi unawamaliza...
Sasa Ukimwi umeamia mikoa ya nyanda za juu kusini...au nako kuna wahaya???? Au ukimwi si ugonjwa wa zinaa? Au nao ni wachafu????...ukiisafisha na vidudu vinakufa?
Mwehhhh mti wenye matunda...!
Wahaya kwa maumbo na rangi ya asili sawa,ila sura aseee hapana..maana wengi wana sura kama mtu anakwepa jiwe...
Vp kuhusu mikoa ya kati, usha wachunguza warangi, wanyiramba na wanyaturu, kwa figa na rangi hapo ndo mwisho, hakuna mfano tanzania nzima, tembea wewe, wahaya wana nini zaidi ya majivuno
Bila shaka huyu mtu kuna kitu amefanywa na mabinti wa kichaga
Eti Manka, Nka-keni, .....mmewafanya nini hawa jamaa?. Kila mara utasikia mabinti wa kichaga oohhh... Dada zetu sio wengi ki-hivyo, ila wanasakamwa kila kona ya nchi. Je mliokwenda nje ya nchi pia huko nako wanasakamwa???
Vp kuhusu mikoa ya kati, usha wachunguza warangi, wanyiramba na wanyaturu, kwa figa na rangi hapo ndo mwisho, hakuna mfano tanzania nzima, tembea wewe, wahaya wana nini zaidi ya majivuno
hawa si ndo wale naskiaga sijui wana chemchem sijui visima vya maji eti
Usipunic hembu kama we kweli ni mhaya jaribu kumuuliza mtu yeyote kuhusu STDs Mkoa ule atakuambia. Na sio kwamba nawaponda maana binafs nimeoa kule na bby hana tatizo ila wengi wao hasa waliozaliwa kule ni kichefuchefu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
mdada upo wewe?
miss you mingi...