Emmanuel kant
JF-Expert Member
- Mar 15, 2026
- 257
- 730
Ndugu zangu ushauri sio shuruti PhD ya kununua naona haikati kiu kila siku utanunua. Muhimu usomeshe wanao.
Jf itatunuku phd piaNdugu zangu ushauri sio shuruti PhD ya kununua naona haikati kiu kila siku utanunua. Mhimui usomeshe wanao
EwaaaPHD ZA KUUWA WATU
Mbona wapo kina Lissu hawahangaiki nazoMada yako ni nini au ukitaka kuandika nini ?
Ushaambiwa mwanasiasa usitegmee cleanest kwa kundi Hilo
Hata wewe ukiingia huko hautakuwa wewe wa Sasa .
Mkuu watoto wetu watateseka sana kununua PhD bahati mbaya hazikati kiu kama maji ya chumvi.Mkuu mbona unazunguka saaaana... Sierra ungemtaja tu!!
Melo aione hiiJf itatunuku phd pia
Angalau unalipia kufundishwa, sio kupewa title bila foundationHata huko kusoma ni kununua elimu🐼
Na kazi zipo za kufikia tu ??! Au ??!Ndugu zangu ushauri sio shuruti PhD ya kununua naona haikati kiu kila siku utanunua. Muhimu usomeshe wanao.
View attachment 3570962
😁👍PhD is an academic that has learned more and more about less and less until they know everything about nothing
Msaidie kumtaja 🥸Mkuu mbona unazunguka saaaana... Sibora ungemtaja tu!!