wilcoxon
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 1,265
- 3,387
Ndiyo wanapata tabu kuona wanaongozwa na mtu aliyekuwa na ndoto za kuwa muhudumu wa ndege, ni maiti tu ndiyo hawezi kuona shida hiyo. Sasa jiangalie hapo upo kundi gani?Narudia, hakuna watu wanapata tabu Dunia hii kwa Sasa kama haters wa Dr Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania. Hakika wanateseka sana. Inafurahisha kweli kuyaona maumivu ya haters.