Someone Buddhify me

Hello,

Nataka kuwa buddhist, nataka nifanye zile meditation kama monk niweze kuumasta huu mwili na hii akili.

I beleive in Buddha, natafuta temple kwa Bukoba, Mwanza au Mara.

Someone please buddhify me.
We're together,ukipata nishtue. I need to be awaken. Mana hili liubongo lipo Kama maji ya mtoni muda wote linatembea nahitaji nilitulize angalau kwa siku one hour
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom