Travis 1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 873
- 1,349
Kama unapata muda unaweza tembelea temple yao kwa Dar ipo Muhimbili. Me huwa naenda kwa ajili ya Meditation kila jumapili.We're together,ukipata nishtue. I need to be awaken. Mana hili liubongo lipo Kama maji ya mtoni muda wote linatembea nahitaji nilitulize angalau kwa siku one hour