Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
- Thread starter
- #81
Uko sahihi ni ving'ang'anizi sana ila sishindwi kumdhibiti isipokuwa nilitaka nipate infos za kutosha kutoka kwakeDaahhh double trouble... kwanza umefanya jambo jema sana hukukurupuka kuongea na dogo na ukamskiliza hujataka kumnyanyapaa!ila nikwambie kitu hakuna mtu anajua kusaundisha km shoga mchekee kidogo akija mara y pili na ya tatu sijui km utasalimika..
wana mdomo sukari sana