Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,696
- 3,472
Inatia uchungu sana,ila kama ulivyosema tuwe makini sana ila pia tumwombe Mungu awalinde,Maana huwa nikiwaona wazazi kina kitu moyoni huwa kinanihuzinisha
Shule za bweni nazo changamoto sana! Haya mambo yanaanziaga hukoMoyo wangu unafukuta kwa uchungu.
Pekee yetu kama wazazi hatuwezi kabisa..tufanye yatupasayo na yaliyondani ya uwezo wetu kama wazazi..mengine tuyakabidhi mikononi mwa Mungu.
Nasikia uchungu mnooooo ni huzuni sana