Hata mimi nimeona mama aende aongee na mama mwenzake kule, litakuwa jepesi kwasababu ni watu wa hapohapo majirani wapo siku zote na pia litachukuliwa kwa uzito sana! Ila pole kwa yaliyokukuta mkuu!Kuna wazo umenipa labda la kuongea na mama yangu halafu yeye alifikishe ngoja nitalifikiria maana mama kuna bidhaa Fulani huwa ananunua hapo kwenye duka lao(wana duka),Pili nadhani nitaongea na Denis ajue nini kinaendelea kwanza,
Sio siri nimepita dakika tano zilizopita hapo njiani(maana duka lao lipo njiani nimemsalimia Mama yake wakiwa na huyu Dogo kwa mbali lakini nimeshindwa hata kuwaangalia
Kuhusu hizo condom Jana jioni alikuja akasema hajatumia bado ila alienda kanisani kweli asubuhi
Yaani hili swala hua linaweka giza sanaHuko uliko Mungu aendelee kukutunza Chief
Mkuu,nipo kwa ajili kushauriwa kwahio napokea ushauri wote tu mwisho nitajua upi ni sahihi wa kuanza nao,lengo hasa hapa alikuwa kumnasua huyu mtoto wangu baada kugundua huyu rafiki yake yupo hivyo ila kwakuwa wadau wanashauri pia niongee na wazazi wake nitaamua ni ipi njia sahihi ya kuiendea maana;Mleta uzi kwa ninavyoona kaleta uzi ili aonekane ni moja kati ya watu walikutana na habari za kuhuzunisha lakini hayuko tayari kusaidia kwa namna moja au nyingi kuokoa watoto wengine.
Na anaendelea kuweka ugumu kuwa hata mdogo wake anaweza kuwa mhanga mkubwa wa hili tatizo..yani Kwa ufupi ni kwamba..anazuia mafuriko kwa chandarua.
Lakini pia,amesahau kuwa bado nae ni mzazi na ataendelea kuwa mzazi.Mungu anaweza kumbariki mtoto wa kiume pia.
Mleta uzi samahani kama nitakukwaza,naomba unisamehe tu..
Uzi wako ni mzito lakini majibu yako ni mepesi sana.binafsi yananifikirisha pia.
wema ni akiba,huruma,matendo mema kwa wengine ni akiba.inaweza kuwa hiyo akiba ya mema usiipate wewe..wakaja kuipata watoto wako au watoto wa watoto wako
🤛🤛🤛🤛...🥂Mkuu,nipo kwa ajili kushauriwa kwahio napokea ushauri wote tu mwisho nitajua upi ni sahihi wa kuanza nao,lengo hasa hapa alikuwa kumnasua huyu mtoto wangu baada kugundua huyu rafiki yake yupo hivyo ila kwakuwa wadau wanashauri pia niongee na wazazi wake nitaamua ni ipi njia sahihi ya kuiendea maana;
Kumbuka huyu ni underage,ukiingia tu kuwaambia wazazi bila akili anaweza akaitwa halafu akakataa hapohapo akageuza kibao labda mimi ndio namfanyia au tunajuana,hapo kesi itakuwa imechukua sura mpya,Voice notes zipo ndio lakini pia huwezi reaction ya wazazi wake itakuwaje
Lakini acha nipokee ushauri nitajua nini cha kufanya mwenyewe
Yani ni huzuni mno ndugu yangu.Yaani hili swala hua linaweka giza sana
Miaka ya nyuma watu ealikua hawatamani kuoata watoto wa kike kwa sababu ya tabia
Lakini sasa hivi watu hawatamani watoto wa kiume sababu ya hili janga
Kwanza pale juu kumbuka niliweka ngumu kumpa condom bila hela,sio kwamba nilishindwa kumpa hela akaleta kesho yake hapana,ilikuwa moja ya njia ya kumuwekea 'ngumu 'ila aliporudi mara ya pili na hela nikajua yupo siriazi kwahio nikawaza,Nae akamuuzi bila wasiwasi
Na unavyo penda kumsapot yule choko humuHuu uzi wako umenipa huzuni mnooooo..kuna kitu kimenikaba hapa kooni Mungu wangu nashindwa kupumua vizuri 🥺🥺🥺🥺🥺
Hakuna haja ya malumbano Chief.nenda kalete comment yoyote niliyomsapot hapa.au unitag nitakuja kujibu mashtaka ya kumsapoti aendelee kufanya laana.Na unavyo penda kumsapot yule choko humu
Ni kama vile unafurahia hiyo tabia leo unanishangaza
Chief kama uliamua kuweka ngumu ninauhakika hata kama angekuja na kiasi gani usingempatia.Kwanza pale juu kumbuka niliweka ngumu kumpa condom bila hela,sio kwamba nilishindwa kumpa hela akaleta kesho yake hapana,ilikuwa moja ya njia ya kumuwekea 'ngumu 'ila aliporudi mara ya pili na hela nikajua yupo siriazi kwahio nikawaza,
Je kama anaenda kukutana na mtu kweli iwe mwanamke au mwanaume nisipompa si ndio atakuwa hatarini zaidi,nikaona nimpe,maana kama alikuwa anaondoka asubuhi ya SAA 12 asingeweza kupata duka lililo wazi
Nashukuru kwa ushauri mkuu nitaufanyia kaziCHUKUA HATUA HARAKA ILI KUSAIDIA NA WEWE KUEPUSHA KUKUGHARIMU
mimi iliwahi nipata situation kama yako mahali fulani tena mara karibia tatu( wote ni watoto wa kichaga....sijui kuna uhusiano gani na watu wa moshi na arusha kwenye hili hata story za watu zinasema hivyo)
Wawili niliishia kuwashauri mimi pamoja na watu kadhaa wakadai kuacha....sielewi kama wameacha
Huyu wa tatu nitamuita Leon ingawa sio jina lake halisi
Leon alikua anapenda sana kupiga story na mimi time hiyo Mimi niko form six yeye yuko form two japo tulikua tunakutana likizo( sisi ni jirani) ikawa muda fulani akawa anaomba nimfundishe as tuition hivi sikupinga kwa sababu ninapenda kufundisha ingawa profession ya ualimu sio hobby yangu ...basi leon akaanza story za hapa na pale mara akikukuta anakuuliza umekula ukimjibu sijala anasema najua kupika tukiwa wawili ntakupikia mambo yakawa yanazidi kua mengi zaidi ikafikia nyakati akataka kuvuka mipaka akanitamkia ananipenda nikamueleza nakupenda pia kwa sababu binadamu wote tunatakiwa tupendane kwa amri ya Mungu yeye akasema ananipenda anataka awe submissive kwangu hilo neno submissive lilinishtua kidogo na that day nilihamaki baada ya kushikwa dhakari,nilikasirika hasira ikapanda ,lakini nikaamua kushusha hasira nijue mengi nilijua mengi na kifupi alianza shule na malezi yake pia yalichangia kwao yeye ni wakiume pekee na kwa mujibu wa maelezo yake anaweza kuingia room ya dada zake na akawakuta wako waziwazi na wala wasimfukuze na nyakati zingine anaweza sifia nguo au viatu vya kike akipita mdada mwisho nilimuweka chini kumshauri akaonekana kuelewa ingawa alikua anaomba sana msamaha kwao wasijue kwa sababu yule mzee Munishi angemuua kwa maelezo yake
Baada ya pale sijui alipata wapi namba yangu alikua ananihamasisha japo nimfanye tu hata asipokua na mimi kwenye mahusiano nimeblock namba zake nyingi sana ikafika hatua akawa kama kachoka juzi amenitafuta Instagram anasema yuko Udsm na anajihusisha na modeling,
NB; Modeling ni uwanja wa mashoga yafanyikayo huko mungu anajua na kwa maana hiyo sidhani kama ameacha huyu
Hiyo ni story iliyonisibu lengo na kuandika hapa
1.moja shirikisha wazazi wake vyema wajue ili umsaidie na uwasaidie
2.kuwashikisha wazazi wake kutakutoa wewe kwenye matatizo kwa sababu kuna siku nilipigiwa sim na mtu akisema ni dada ake leon akawa anasema amechukua namba nyingi kwenye sim ya leon ambazo anazihisi zina mawasiliano yenye viashiria vya mahusiano aidha kwa hao watu kumtaka huyo leon au huyo leon kuwataka ilinichukua muda kuaminika ikawa ni kutuma screenshot za chatings kila wakati ili kuaminisha kwamba sihusiki
Hivyo cha msingi shirikisha wazazi wake itakusaidia wewe,wao na huyo dogo pamoja na kizazi kingine
Usisahau kushughulika na wadodo zako akili yangu inaniambia kuna mshiriki mmoja kati ya hao wawili
Upo sahihi huu urafiki ni wa kuwa makini nao mnoHuyo dogo atakuwa ni bisexual gay, urafik wa Dogo na Rama ni wa kuwa makini nao, maana chochote kinaweza kutokea kati yao. Huyo dogo anatakiwa kupata huduma ya kitaalam ya saikolojia ya mahusiano ili asipotee.