SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,892
Wewe ndio mtu pekee unayeweza kumsaidia huyo dogo. Usimchukie wal usitumie ubabe.
Onyesha upendo kuwa kama kaka yake pia uwe kama mshauri nasihi/counsellor. Ukishindwa muunganishe na washauri wabobezi/professional counsellors.
Pia shirikisha wazazi wake hilo ni janga kubwa. Yeye ameharibika na anaenda kuharibu wenzake.
Mungu akutie nguvu katika jukumu hili zito lililo mbele yako.
Amen.
Onyesha upendo kuwa kama kaka yake pia uwe kama mshauri nasihi/counsellor. Ukishindwa muunganishe na washauri wabobezi/professional counsellors.
Pia shirikisha wazazi wake hilo ni janga kubwa. Yeye ameharibika na anaenda kuharibu wenzake.
Mungu akutie nguvu katika jukumu hili zito lililo mbele yako.
Amen.