Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 290
mm bado inanichanganya kutumia naona kama imebebwanishwa na ile ya awali
utaipenda tuu.... kwa taarifa tuu hakuna maboresho ambayo yameshawai kufanywa na jf either kwenye website au Jf app..... yakakubaliwa na watu wote...kila maboresho hupingwa na watu hutaka ya zamani yarudi...hata muonekano huu wa jf kwenye browser yalipingwa sana ...Wakuu hii app sijaipenda bora hiyo ya zamani, maana hii mpya haijakaa vizuri hata kidogo. Niombe wahusika wairudishe yazamani tuu, hata rangi yake sijaipenda kabisa haivutii.
Vipi ninyi wakuu mmeielewa?
Aseeh mimi nimerudi app ya kihenga hii mpya siiwezi UI yake sijaielewa kabisa.Mkuu fanya hivi install app ya zamani alafu login then nenda playstore alafu update moja kwa moja ukiwa umelogin kwenye app ya zaman
Asante
What's new ktk hiyo upgraded JF aps yenu!?Salaam,
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.
Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?
Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.
Kuna swali lolote?
Karibu..
Naomba kujua kwa nini notification haziji? Ni kwangu tu au kwa kila sim?utaipenda tuu.... kwa taarifa tuu hakuna maboresho ambayo yameshawai kufanywa na jf either kwenye website au Jf app..... yakakubaliwa na watu wote...kila maboresho hupingwa na watu hutaka ya zamani yarudi...hata muonekano huu wa jf kwenye browser yalipingwa sana ...
Nilijua kwangu tu. Ikabidi nicheck settings ila hamna tatizo lakini notification sipati.Naomba kujua kwa nini notification haziji? Ni kwangu tu au kwa kila sim?
Haha sawa kiongozi lakini wakirekebisha ishu ya notifications itakuwa poaAseeh mimi nimerudi app ya kihenga hii mpya siiwezi UI yake sijaielewa kabisa.
Exactly. Ya zamani inaleta notificationsHaha sawa kiongozi lakini wakirekebisha ishu ya notifications itakuwa poa
Mimi hata ya zamani toka asubuhi sipati notications mpaka nitumie browserExactly. Ya zamani inaleta notifications
Nilisema si-update kwanza, notifications zikagoma kuanzia App ya zamani.Nilijua kwangu tu. Ikabidi nicheck settings ila hamna tatizo lakini notification sipati.
sawa nitajaribuAsante kwa pongezi mkuu. Pole kwa changamoto hiyo.
Jaribu kujiondoa tena leo kisha utupatie mrejesho kama bado utaendelea kuzipokea..