Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Wakuu,

Mimi hii app sijaipenda bora hiyo iliyokuwa ya zamani nimeona tangazo la app mpya ya JamiiForums nikaingia play store fasta nikaiupdate lakini kilichotokea bora hiyo ya zamani. Niwaombe uongozi wa JamiiForums waiangalie upya sijaipenda kwakweli,sijui wadau nyie mnaionaje kwanzia mazingira yake, rangi yake blue hovyo kabisa yani.

Karibuni
mkuu ni kawaida kitu kipya au muonekano mpya kuuzoea ni changamoto, hapa tuvumilie tu soon tutaona iko kawaida tu
 
Hongereni kwa kutoa Update ya Jf.
Nimetumia karibu lisaa kuweza kutambua features zilizopo na matumizi yake.
App iko poa, ila kwenye issue ya color ingependeza kama ingerudishwa ile dark blue.
 
Kumbe tuko wengi Kaka Masai. Mie pia sijaielewa kama.

Hiyo ya kihenga tuliyoizowea inapatikana wapi ikiwa umesha update imekuja hii ya kisasa?

Manga ML pita huku kaka.
Mabadiliko yakitokea uniambie hata PM Dada yangu ili iwe rahisi kujua, leo nitaadimika humu.

Nime update ili niweze kupata notifications kumbe hali bado iko vile vile
 
Mabadiliko yakitokea uniambie hata PM Dada yangu ili iwe rahisi kujua, leo nitaadimika humu.

Nime update ili niweze kupata notifications kumbe hali bado iko vile vile
Yaani bado sababu mie pia nilikimbilia ku update nikidhania nitapata notifications zangu ila bado holaa zipo za juzii.

Usijali mdogo wangu nitakufahamisha..
 
Yaani bado sababu mie pia nilikimbilia ku update nikidhania nitapata notifications zangu ila bado holaa zipo za juzii.

Usijali mdogo wangu nitakufahamisha..
Sawa Dada yangu.

Imeboa sana kutotoa notifications
 
Vipi kwenye vyeo kuna maboresho yoyote? Maana,hakuna vyeo siku hizi hakuna zawadi..
 
Nilisema si-update kwanza, notifications zikagoma kuanzia App ya zamani.

Nikasema ngona ni update naweza kutatua tatizo, lakini tatizo bado lipo pale pale.

Bila notifications sioni Raha ya JF kabisa
Pole ungesubiri kwanza.
Me nataka nirudi ile ya kihenga aiseh!
 
Naombq Ku ultimately za App ya Jamii forum play story haipo kulikoni?
 
Back
Top Bottom