ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,368
mkuu ni kawaida kitu kipya au muonekano mpya kuuzoea ni changamoto, hapa tuvumilie tu soon tutaona iko kawaida tuWakuu,
Mimi hii app sijaipenda bora hiyo iliyokuwa ya zamani nimeona tangazo la app mpya ya JamiiForums nikaingia play store fasta nikaiupdate lakini kilichotokea bora hiyo ya zamani. Niwaombe uongozi wa JamiiForums waiangalie upya sijaipenda kwakweli,sijui wadau nyie mnaionaje kwanzia mazingira yake, rangi yake blue hovyo kabisa yani.
Karibuni