Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Wakuu,
Wale mnaotumia App ya Android ningependa kuwafahamisha kuwa leo tumerekebisha kasoro nyingi zilizokuwa zimeripotiwa kwetu na hivyo app itawaarifu kuwa kuna maboresho na inahitaji kuwa UPDATED.
Tafadhali fanya UPDATE ili upate app mpya iliyofanyiwa maboresho. Ukisikia mtu anakwambia kuwa hawezi kusoma PM, mwambie aka-update app yake.
Natanguliza shukrani kwa uelewa na uvumilivu wenu wakati changamoto kadhaa zikiwa hazijatatuliwa.
Aidha, niwashukuru kwa kuripoti kasoro hizo ili zifanyiwe kazi.
Niwatakie weekend njema.
Wale mnaotumia App ya Android ningependa kuwafahamisha kuwa leo tumerekebisha kasoro nyingi zilizokuwa zimeripotiwa kwetu na hivyo app itawaarifu kuwa kuna maboresho na inahitaji kuwa UPDATED.
Tafadhali fanya UPDATE ili upate app mpya iliyofanyiwa maboresho. Ukisikia mtu anakwambia kuwa hawezi kusoma PM, mwambie aka-update app yake.
Natanguliza shukrani kwa uelewa na uvumilivu wenu wakati changamoto kadhaa zikiwa hazijatatuliwa.
Aidha, niwashukuru kwa kuripoti kasoro hizo ili zifanyiwe kazi.
Niwatakie weekend njema.