Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Mwenyewe nimechoka kila nikiingia sioni notifications kabisaaa!!Mie leo toka asubuhi sipati notifications upande wa App nifanyeje yaani mpaka nitumie Web ndio nazikuta je tatizo ni nini?
Mwenyewe nimechoka kila nikiingia sioni notifications kabisaaa!!Mie leo toka asubuhi sipati notifications upande wa App nifanyeje yaani mpaka nitumie Web ndio nazikuta je tatizo ni nini?
hahahahhahaa mkuu mi naona mapichapicha tu hata sielewi,,,,Huu muonekano mpya naona kama mtu anasoma pm zangu
Mtakuja kupofuka jamani
Mkuu mi imenishinda kabisaaNgoja waje.. mimi naona kawaida tu
Mkuu mie imenishinda kabisaHata mi ndo najitahidi kuizoea hapa ila aah