Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

M
Mkuu, itakuwa ni network error kwa upande wako.

Jaribu kuangalia tena. Ikibidi ifunge na uifungue upya App yako.


effc1c122cd0150c08cba924cf02b742.jpg
Nashukuru Boss yangu ilikuwa haikubali leo imekubali nashuru sana!!
 
Salaam,

Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.

Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji hususan wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?

Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.

Kuna swali lolote?

Karibu.. Bonyeza HAPA kuupdate
=====================

UPDATES (March, 2018):


Ndugu WanaJF,

Tumepokea malalamiko kuhusu changamoto kadhaa ikiwemo kuchelewa au kutopokea kabisa notifications kwa watumiaji wa Android.

Wataalamu wetu wanazifanyia kazi changamoto hizo hivyo tunaomba uvumilivu wenu kidogo.

Asante.
Asee PM yangu ina shida gani? Manake siwezi kuingia japo kuna wakati watu wananitumia SMS naona tu ziingiapo ila nikitaka kuingia naambiwa Not support module private messages. Mfano Jana ilikubali kwa muda Wa km dk 10 tu baada ya hapo hadi sasa ni shida. Sasa unakuta mtu anatuma SMS inakaa hadi miezi miwili haijibiwi
 
Mkuu nkitaka kutag ndo napata balaa hebu nielekeze jinsi ya kutag may b nkiandika herufi ya kwanza tuu inipe option ya majina yenye herufi hizo maana kuna wadau wanamajina magumu kama ngozi ya goti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imeboreshwaje? Je maboresho yamehusisha kufuta thread za kipuuzi za Pro-CCM??? Kama hapana, basi maboresho yaliyofanyika yatakua ya kawaida sana. Hata hiyvo hongereni, kesho navaa T-shirt yangu ya JF
Tshit hzo nazipata wapi na kwa Bei ipi
 
Back
Top Bottom