Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Kwahili nadhani mmepiga hatua,inaonekana kwa macho vema,rahisi kutumia,na mambo mengi yako karibu kwenye app yenu mpya!Hongereni Wataalam wote kwa New Version ya JF App
IMG_8108.JPG
 
App mpya ya Jf mbona haioneshi notification??
Moderators nisaidieni aseee.
Bora hata ninsinge update!!
 
Setting ipo sawa kabisa. Natumiwa meseji lakini sipati notification. Mijadala mbalimbali nakuwa Quoted au mentioned lakini sipati notification. Sijulishwi tena juu ya Post mpya zinazowekwa, sijulishwi tena ni nani kaniquote au ku-like. Sasa hii inanipa wakati mgumu sana, maana inatokea nachelewa kumjibu mtu anatafasiri vibaya.

Nimelog out and in Mara kibaooo hamna kitu. Nikabahatika soma Uzi wenu wa ku-update App >> Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS).. Nimeiupdate jana lakini wapiii - tatizo liko pale pale.

Ni kwangu tu? Nisaidieni kutatua hili tatizo..
 
Hilo tatizo hata mimi huwa linanitokeaga my aka sometimes naamua kutumia browser
 
Hili tatizo hata kwangu nimeliona jana yaan nipo jf kwa kuvizia

Au ndio maana sikupata meseji yako Mama yeyoo, nimesamehe kila kitu. Pole sana. Nikasema umeanza lini kujifunza uongo?
 
Inabidi mlete update ya kufix bugs haswa hii ya kukosa notification
 
Nilivyo unistall wakati nina ban nikaona wamerudisha tena play store nikaishusha jana usiku duh hakuna chochote ila maboresho ambayo yalikuwa ni kero ni hata mtu akiquote uzi mzima utaonekana nusu

Nikajua mm mshamba may be nimekosea mahali kumbe ni tatizo
 
Back
Top Bottom