The Planner
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 357
- 118
Wana jf, soko kuu la uhindini jijini mbeya linawaka moto hivi sasa, hali siyo nzuri
Wana jf, soko kuu la uhindini jijini mbeya linawaka moto hivi sasa, hali siyo nzuri
hilo soko liko kwenye jimbo la sugu?
Taarifa niliyoipata kutoka kwa rafiki yangu aliyepo huko anasema hali ni tete sana...
chanzo nini?
ni njama za ccm kuwarudisha nyuma wananchi wa mby, ene wei poleni sana
ni njama za ccm kuwarudisha nyuma wananchi wa mby, ene wei poleni sana
ni njama za ccm kuwarudisha nyuma wananchi wa mby, ene wei poleni sana