Software Inaungana Vipi na Hardware?

Software Inaungana Vipi na Hardware?

Kwa kweli hata mimi sielewi elewi inakuwaje. Hata kitendo cha kutumia mouse na cursor kwenye screen ya computer ku-operate naona sielewi elewi. Vipi kuhusu touch screen.

Unagusa icon ina-respond na vitu viki kama hivyo
 
unatakiwa uisome kernel kujua inafanyaje kazi,

220px-Kernel_Layout.svg.png


unaweza hata youtube kwenda utaona, ni topic ndefu inabidi ukae chini utulie.
 
Mmmh mbona ni kitu rahisi sana. Ni arrangement za wire na logic gates and when switched on they can do on n off in such a way they do some thing useful.
 
Kwenye software kuna application software hizi mtumiaji wa kawaida aka end user anatumia mfano wake ni kama ms office na nyingine . Pia kuna system software hizo ndio zinafanya hardware na software nyingine kama ziweze onana na ndizo utambua architecture na software zinazoitajika kutumiwa na kinakirishi chako kumbuka architecture ndio tunaposema hii 32bit au 64bit . Ukijifunza kernel utapata picha zaidi
 
Ni maelezo marefu sana. Ni vizuri ungeanza katika low level technical explanations ya kila kitu, utafahamu wapi vinapokutana.
Anza kuelewa kabisa kwamba whatever behaving in a computer inafanywa na electric signals bas! Kuanzia picha ya kwenye screen na vingine. Kwa mfano wengi wanazungumzia computer inaelewa 1s and 0s, lakini ni wanarahisisha tu maelezo. Katika central processing unit, kinachotambuliwa ni 'switches' bas; yaan, on and off, of which tunaita ones and zeros.
Sasa software ni kama interfaces katika command zako user na electronic parts of that machine.
Hivyo, ukitaka kuelewa kirahisi, unatakiwa ubadilishe mtazamo wako wa utambuzi wa hivyo vitu. Nina maana, anza kuchukulia vitu kama vilivyo. Mfano, ukiona screen, angalia what makes it appear like that. Namaanisha, get deep to every part of the computer part, then utaelewa.
Hakuna magic. Ni kwamba ni technologia za muda zilizokuwa zikiendelezwa kwa kidogo kidogo, na ndio maana inakuwa ngumu kuzielewa faster.

Also, kama alivyopendekeza jamaa hapo, tafiti kuhusu kernel(s). Ila msingi niliotoa hapo juu, utakupa mtazamo wa technology hii.

Kwa ushauri tu, never limit your mind. Magic ni pale ones mind inaposhindwa kujua siri ya mechanism behind something.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Yaani ni vurugu zaidi. Humo kwenye kernel kuna codes kama 15 million.

SWALI NI HIZO CODES NA VISWICHI VYA ON NA OFF VINAELEWANA VIPI.

Wengi mliojibu hapa mmejibu kama hao jamaa wa Youtube. Mmejibu mkichukulia mimi sijui computer. Nina degree ya IT kwenye database.

Hili swali ninalouliza ni kama kuuliza Mungu kakaa wapi. Ni swali ambalo waliopo katika fani hii wanaweza kupata idea za kugundua kitu kipya.
 


Yaani ni vurugu zaidi. Humo kwenye kernel kuna codes kama 15 million.

SWALI NI HIZO CODES NA VISWICHI VYA ON NA OFF VINAELEWANA VIPI.

Wengi mliojibu hapa mmejibu kama hao jamaa wa Youtube. Mmejibu mkichukulia mimi sijui computer. Nina degree ya IT kwenye database.

Hili swali ninalouliza ni kama kuuliza Mungu kakaa wapi. Ni swali ambalo waliopo katika fani hii wanaweza kupata idea za kugundua kitu kipya.

If you think software is a different creature in comparison with hardware, no explanation would satisfy you. Think software like a sequence of electric charges. All the code that you write would get stored as sequence of electrical charges either on RAM or disk. So you are NOT writing text but the sequence of electric charges. Your video card is drawing the stuff on the monitor in English to help you to understand what you are typing. In one way, perhaps truly, whatever you do on the computer is physical. Cheki iii mkuu nimeitoa stake. How does Software/Code actually communicate with Hardware?
 
If you think software is a different creature in comparison with hardware, no explanation would satisfy you. Think software like a sequence of electric charges. All the code that you write would get stored as sequence of electrical charges either on RAM or disk. So you are NOT writing text but the sequence of electric charges. Your video card is drawing the stuff on the monitor in English to help you to understand what you are typing. In one way, perhaps truly, whatever you do on the computer is physical. Cheki iii mkuu nimeitoa stake. How does Software/Code actually communicate with Hardware?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu link yako imenisaidia kunyoosha swali langu;

How does plain text of codes make the computer do what it does?

"Ni vipi maandishi matupu yafanye komputa ifanye kazi".

Majibu yaliyotolewa hapo ni ya jeuri za wanasayansi. Kusema hawajui hawataki.
Wanakimbilia kukufanya wewe uliyeuliza swali hujui au huna akili. Hawajibu swali lako wanazunguka swali kwa kutumia maneno ya kitaaluma ya kukufanya ujione hujui zaidi.

Sasa hizo electrons zina mpango gani na michoro ya programming tunayoandika kwenye karatasi.

Cha hovyo zaidi hizi CPU zinatengenezwa kwa kutumia computer.
 
Wewe unayeelewa umejibu nini?
Usidumaze ubongo wako mzee. Any thing that has been made, has formulars and theories embeded on it and majority understand them. In not a matter to make yours but to understand how it works.
Sasa ww nikikuuliza unajua Pumb ya baiskel inavyo fanya kazi obviously jibu ni yes na ni very simple operation and logic. Sasa kama mtu atataka utengeneze yako ndoo aamin that is a fuc*ing damn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usidumaze ubongo wako mzee. Any thing that has been made, has formulars and theories embeded on it and majority understand them. In not a matter to make yours but to understand how it works.
Sasa ww nikikuuliza unajua Pumb ya baiskel inavyo fanya kazi obviously jibu ni yes na ni very simple operation and logic. Sasa kama mtu atataka utengeneze yako ndoo aamin that is a fuc*ing damn

Sent using Jamii Forums mobile app

Nikuache kama ulivyo. Usomi ni pamoja na kuweza kufundisha ulichosoma. Kama huwezi unasema tu hiyo simple ukijua ABC za electronics. Huo ni upuzi na show off za kijinga.

Swali ni simple hizo electrons zinalink vipi na texts?
 
Back
Top Bottom