Sophia SImba anaweza asiwe fisadi kama tuwa juavyo. Tatizo ni kwamba yeye ana tegemea watu kubaki alipo na ni lazima awa tetee hao watu. Sophia Simba ni samaki mdogo sana. Trust me she is a non issue. Tatizo ni kwamba yeye ni waziri na anafanya mambo kama mswahili.
Hapana mkuu wangu,huyu ni sehemu kubwa ya tatizo! Hiyo wizara haimfai hata kidogo! She need to go,period.
I agree she should go. Nilicho kuwa namaanisha mimi ni kwamba tu yeye sidhani kama ni fisadi kama tuwa juavyo wale "mapapa" na "nyagumu" lakini siyo kuwa namtetea kabisa. Hata mimi nasupport kwamba aondoke.
Mwanakijiji, be fair to Sophia Simba, mbona husemi kasema nini jana?. Kwa kusaidia huyu mama katapika mbovu, kaiponda ripoti ya kina Mwakiembe haikuwa ya nia njema. Kamponda mama Kilango kuwa alikuwa akiuza madawa ya kulevya. Kaponda Mzee Malechela kwa kampeni yake kuutafuta urais ilifadhiliwa na Jeethu Patel fedha za ufisadi wa Epa. Kamponda Spika Sitta ndiye aliyeileta Richmond alipokuwa TIC, Kaisoma barua nzima ya Kashilila kwenda Takukuru kuhusu Posho mbili na kuonyesha unafiki wa Spika Sitta, kathibitisha wamefanya uchunguzi na kuthibitisha hakukuwa na rushwa kwenye richmond, ndipo kashauri ufanyike uchunguzi huru kuweka mambo sawa. Hili ndilo kosa lake?.
Uliyoyasema kwenye kamati ya mzee Mwinyi ni ya aibu kwa aliyekuteua na wale uliojaribu kuwatetea. Sitaki niyarudie lakini kwa heshima yote uliyobakia nayo your time is up ma'am. Thank you for your unforgetable diservice to our country. Tukiamka tusikie umejiuzulu na kuwa mfano wa utawala bora. Usisubiri uundiwe kamati.
ur probably right.. maana sisi tulikuwa tunazungumzia "uongozi bora" wao wanasema "utawala bora"!
Ni jambo moja kuwatetea kama ilivyotarajiwa; ni jingine kabisa kuwamwagia mabusu na kuwakumbatia huku akiwatolea uvivu na kuwapaka wapiganaji kwa majina. Ameapa kusafishwa kwaja.
dadangu ni mluguru
The Following 4 Users Say Thank You to Mzee Mwanakijiji For This Useful Post: Field Marshall ES (Today), K4jolly (Today), Meshili (Today), Ng'azagala (Today)
Jamani hizi thanks zilikuwa za nini hata kabla hamjajua Mwanavillage ana zungumzia nini???? Ama kweli tunajua kulukia treni kwa mbele bila hata kujua liaelekea wapi!!!!
Mungu ibariki Tanzania
Aondoke kwa sababu tu kasema ukweli kuhusu Kilango, Mwakyembe, Selelii et al?
Ingelikuwa vyema ungetujuza ufisadi na agenda walizonazo Wapiganaji. Otherwise naona kama ni mtetezi wa Lowassa na kundi lake.Mzee Mwanakijiji, Sofia Simba ni mchafu, hilo unalijua, Mama Kahama alimwaga chozi kwa ajili ya matusi yake, ni wewe uliyembeba kwenye podcast yako, leo ndio umelijua hili?.
On the other side, amini nawaambieni, Lowassa is not that bad na wapiganaji are not that clean, nao wanaufisadi wao na agenda zao.
I feel you brother. Only in TanzaniaIt's only in Tanzania where a person like Sophia Simba can become a leader and a cabinet minister for that fact. Mama kakaa kama muimbaji wa taarabu na hata maneno yake saa nyingine uta fikiri ni nyimbo za akina Hadija Kopa. If it wasn't for her being a minister i wouldn't waste my time on her.